Toka Azam TV ianze kuonesha ligi ya Tanzania, imepelekea kupunguza mashabiki wa ligi za Ulaya

Mashabiki wamechi zaulaya wamepungua sana kwaukanda huu nahii nikutokana nakuporomoka viwango vyaubora timu pendwa za man u na arsenal mtu kutoa pesa kuiangalia man city anaona nimatumiz mabaya yapesa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…