usimamizi mbaya
Member
- Nov 3, 2024
- 55
- 92
Tangu mwaka 1992 hadi sasa katika makatibu wote wa CHADEMA ni Dokta Slaa pekee alikuwa na msimamo na speech zenye msisimko.
Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.
Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.