Toka CHADEMA kuanzishwa hakuna katibu mkuu aliyemfikia Slaa

Joined
Nov 3, 2024
Posts
55
Reaction score
92
Tangu mwaka 1992 hadi sasa katika makatibu wote wa CHADEMA ni Dokta Slaa pekee alikuwa na msimamo na speech zenye msisimko.

Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…