usimamizi mbaya
Member
- Nov 3, 2024
- 55
- 92
Huo msimamo wake uliisaidia nini Chadema?.. πTangu mwaka 1992 hadi sasa katika makatibu wote wa Chadema ni dokta Slaa pekee alikuwa na msimamo na speech zenye msisimko.Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.
mashinji alikuwa kama boya tu, hakuwa active authoritative, afadhali ya mnyika japo ameonesha uchawa fulani hivi kwa mboweTangu mwaka 1992 hadi sasa katika makatibu wote wa Chadema ni dokta Slaa pekee alikuwa na msimamo na speech zenye msisimko.Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.
Chama kilikuwa na amshaamsha.alikuwa akihojiwa bbc serikali inatoka mafichoni kujitetea.si hawa wa karibuni.Huo msimamo wake uliisaidia nini Chadema?.. π
2015 aliwapa wabunge wengi kwenye historia yao.Huo msimamo wake uliisaidia nini Chadema?.. π
Slaaaa next levelTangu mwaka 1992 hadi sasa katika makatibu wote wa Chadema ni dokta Slaa pekee alikuwa na msimamo na speech zenye msisimko.Mashinji na Mnyika ndiyo wauza sura zaidi hawana ishu.
Huo sio msaada kwa chama...........mkuuChama kilikuwa na amshaamsha.alikuwa akihojiwa bbc serikali inatoka mafichoni kujitetea.si hawa wa karibuni.
Wabunge kawapa yeye.... acha utani mkuu π2015 aliwapa wabunge wengi kwenye historia yao.
Mwisho wa siku...ilikuwaje?Kaborou alikuwa Imara sana
Kutorokea SwedenHuo msimamo wake uliisaidia nini Chadema?.. π