Toka Dunia iumbwe kwanini Simba hajawahi mfunga Yanga kila wanapokutana tarehe 8?

Toka Dunia iumbwe kwanini Simba hajawahi mfunga Yanga kila wanapokutana tarehe 8?

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe nanyi watumishi

Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana

Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu

Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison

Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6

LONDON BOY
 
Ngoja wanasimba wenzangu wabobezi waje kujibu.
giphy-downsized.gif
 
Amani iwe nanyi watumishi

Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana

Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu

Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na yanga unga unga gori la bernad Morrison

Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6

LONDON BOY
Tafuta data. 8/3/2015 Simba alishinda 1 -0 dhidi ya Yanga, bao likifungwa na Emmanuel Okwi. Ni mara mbili pekee wamekutana tareh 8/3 na kila timu imeshinda mara moja (1-0).
 
Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison

Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6
Unaishi Gambosh.....
 
Amani iwe nanyi watumishi

Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana

Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu

Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison

Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6

LONDON BOY

UNAUHAKIKA NA UNACHO KISEMA?????

usizungumze bila kuwa na Tafiti
Utaonekana Mropokaji, mkurupukaji.

Jf members hatupo tayari kuvumilia UONGO.
 
Amani iwe nanyi watumishi

Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana

Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu

Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison

Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6

LONDON BOY
Naona Mmeanza kuchanganyikiwa 2020 mpaka 2025 ni miaka 6 si ndio?

Mtasema tu ulipitia mlango gani.
 
Back
Top Bottom