Tafuta data. 8/3/2015 Simba alishinda 1 -0 dhidi ya Yanga, bao likifungwa na Emmanuel Okwi. Ni mara mbili pekee wamekutana tareh 8/3 na kila timu imeshinda mara moja (1-0).Amani iwe nanyi watumishi
Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana
Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu
Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na yanga unga unga gori la bernad Morrison
Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6
LONDON BOY
Unaishi Gambosh.....Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison
Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6
Amani iwe nanyi watumishi
Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana
Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu
Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison
Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6
LONDON BOY
Tarehe 8 ni jumamosiYanga hajawahi mfunga simba jumapili
Kipigo cha November 5 cha goli tano ilikuwa ni siku ya JumapiliYanga hajawahi mfunga simba jumapili
Naona Mmeanza kuchanganyikiwa 2020 mpaka 2025 ni miaka 6 si ndio?Amani iwe nanyi watumishi
Kumbukumbu zangu zimenipeleka mbali sana
Lakin hasa nikiikumba yanga mbovu kabisa iliyokutana na Simba imara kabisa iliyosheheni kila kitu
Hapo nakumbuka mwaka 2020 mwezi wa 3 tarehe 8 Simba alilia sana baada kupigwa moja bila na Yanga unga unga gori la Bernad Morrison
Tarehe hiyo hiyo mwezi huo huo imejirudia tena baada ya miaka 6
LONDON BOY