Toka hafidhi salehe kuwa timu meneja

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Toka hafidhi awepo pale yanga
Mechi zote za yanga za mwisho yanga na azam
Yanga hajawahi kumfunga azam na si goli moja zaidi ya mbili na tulisha waambia viongozi na tunapata taarifa hushawishiwa na huwaghalibu baadhi ya wachezaji
Na lengo la azam aweke rekodi kumfunga yanga ila kuna vijitu vijinga humfanya hafidhi ndio mwenye yanga mashsbiki ndio watumwa wa yanga
 
Aliyekuelewa naomba anisaidie kunifafanulia una maana gani, maana Mimi nimetoka kapa..
 
Nilitaka kuwapima mashabiki je wanaimani na kiongozi wetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…