Toka ingie korona sishibi, resho imepunguzwa

Toka ingie korona sishibi, resho imepunguzwa

Joined
May 12, 2020
Posts
8
Reaction score
10
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba.

Lakini gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na uzee wote huo wa miaka 35 umekuwa mtu wa kula na kulala?

Amefanya vizuri sana huyo mjomba wako wa kupunguza "ration" toka kilo moja hadi nusu kilo

Hata vitabu vya dini vimeandika mtu asiyefanya kazi na asile.......
 
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba , lakin gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna thread ulikuwa unaulizia sehemu ya kufanya internship ili upate uzoefu wa kazi, kwa hiyo ulikuwa unatutania?
 
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba , lakin gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavuu , nashauri mjomba wako azidi kupunguza ratio kutoka nusu mpaka robo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jf katika ubora wake[emoji28][emoji28][emoji28].

hakuna mneno yanakera kama.

sijashiba,sishibi,sitashiba-ukuona mtu anatamka kauli hii ujue ni tatizo.
 
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba , lakin gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Don't sit back and take what it comes go after what you want.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba , lakin gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ungetoa credit kwa jambo na vijambo ingekuwa poa.
 
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba , lakin gafla bini vuu hali imebadilika msosi umepunzwa kutoka kilo hadi nusu , hali hii inanipelekea mm kutoshiba na nashindwa kufurahia maisha ya kwa mjomba kabisa . nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama upo serious, kwanini hutaki kazi sasa au wewe niki wa pili unatuchora tuu!

Kwa mjomba hakuna urithi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom