Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Toka sakata hili lianze sijasikia kauli thabiti kutoka kwa Mzee Philip Mangula na Abdulhaman Kinana. Kwenye mambo kama haya kauli za wazee ni muhimu sana. Hata David Cleopas Msuya. Kulikoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wazee sio wa mhimuToka sakata hili lianze sijasikia kauli thabiti kutoka kwa Mzee Philip Mangula na Abdulhaman Kinana. Kwenye mambo kama haya kauli za wazee ni muhimu sana. Hata David Cleopas Msuya. Kulikoni?
Toka sakata hili lianze sijasikia kauli thabiti kutoka kwa Mzee Philip Mangula na Abdulhaman Kinana. Kwenye mambo kama haya kauli za wazee ni muhimu sana. Hata David Cleopas Msuya. Kulikoni?
"CCM ni ili ile tumejipanga mwaka huu wataisoma" in Komba's voice
Siyo Magufuli? maana ukiisoma ile IGA kuna MoU ilianzia 2020, kulikuwa kuna Kinana au Bashiru 2020?Kinana ndiyo dalali wakuwaleta waarabu na Alshababu
Akikujibu uni-tagSiyo Magufuli? maana ukiisoma ile IGA kuna MoU ilianzia 2020, kulikuwa kuna Kinana au Bashiru 2020?
Mnapenda kujustifu uovu Kwa kusibgizia magufuri..Magufuri aiyakataa ndo maana akauawaSiyo Magufuli? maana ukiisoma ile IGA kuna MoU ilianzia 2020, kulikuwa kuna Kinana au Bashiru 2020?
Huyu naye mzee? mbona hana tofauti na wale wachumia tumbo wa kujipendekeza?4. Mizengo Pinda
[emoji3166]Toka sakata hili lianze sijasikia kauli thabiti kutoka kwa Mzee Philip Mangula na Abdulhaman Kinana. Kwenye mambo kama haya kauli za wazee ni muhimu sana. Hata David Cleopas Msuya. Kulikoni?
Mnapenda kujustifu uovu Kwa kusibgizia magufuri..Magufuri aiyakataa ndo maana akauawa