Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji1593]Wataalamu wa matibabu wanaonya kuwa kutibu madhara ya sumu hii huhitaji teknolojia ambayo ni ghali mno na kuwa sio nchi nyingi zina
uwezo wa kuyatibu.
[emoji1593]Kwa hiyo ukipata sumu hii ameugua, itabidi tu ajitayarishe kupoteza maisha.
[emoji1593]Dkt Gakunju anaongeza kuwa jani moja la mmea wa tumbaku hapa nchini limefanyiwa utafiti na kubainika kuwa huwa lina sumu hii kwa kiwango
cha asilimia 15.
[emoji1593]Jiulize ukitumia ugoro au sigara unakuwa umetumia majani mangapi?
TULINDE AFYA ZETU DHIDI YA SUMU HII. ACHANA SIGARA NA UGORO.
*MADHARA UGORO*
[emoji1593]magonjwa ya moyo
[emoji1593]kansa ya koo
[emoji1593]kansa ya Mapafu
[emoji1593]kifua kikuu
[emoji1593]matatizo ya meno
[emoji1593]kuharibu mifupa
[emoji1593]kupunguza uwezo wa kufikiria
[emoji1593]hupunguza ufanisi wa ufanyaj kazi wa ubongo
uwezo wa kuyatibu.
[emoji1593]Kwa hiyo ukipata sumu hii ameugua, itabidi tu ajitayarishe kupoteza maisha.
[emoji1593]Dkt Gakunju anaongeza kuwa jani moja la mmea wa tumbaku hapa nchini limefanyiwa utafiti na kubainika kuwa huwa lina sumu hii kwa kiwango
cha asilimia 15.
[emoji1593]Jiulize ukitumia ugoro au sigara unakuwa umetumia majani mangapi?
TULINDE AFYA ZETU DHIDI YA SUMU HII. ACHANA SIGARA NA UGORO.
*MADHARA UGORO*
[emoji1593]magonjwa ya moyo
[emoji1593]kansa ya koo
[emoji1593]kansa ya Mapafu
[emoji1593]kifua kikuu
[emoji1593]matatizo ya meno
[emoji1593]kuharibu mifupa
[emoji1593]kupunguza uwezo wa kufikiria
[emoji1593]hupunguza ufanisi wa ufanyaj kazi wa ubongo