Toka nianze kuingia JF

Habari senu wana JF wote nafurahi kuwa pamoja nanyi kwani mmefanya maisha yangu kuwa ya furaha sana. JF nawapenda wote AND LET ME BE THE FIRST TO WISH U ALL MERRY XMASS AND HAPPY NEW YEAR 2012

Aisee Maty... Ubarikiwe sana mpendwa...

Mkuu angalia sana afya yako JF isije kukuletea magonjwa nyemelezi, unene husababisha magonjwa lukuki ya moyo! Great thinkers huyaita Non Communicable Diseases. Hahahahahah

Happy X-mas buddy!

I am Full Time Alcoholic, Drugs and Sexy Addicts...


Reverend.... Heri ya Noeli... Yesu azaliwe moyoni mwako (tena)
 
Mnampenda? We na nani? Babu hapendi mtu, japo anawatakieni xmass njema yenye amani, furaha na upendo!

Babu hachaguliwi...........:lol::lol:
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama.
.:israel::israel::israel:

Nafikiri konokono na vyura wanaanza kuleta effects.... Salama babu?
 

i wish you the same maty, god bless u.
 
The same to you Dear!! hahaha ila ntasimamisha tukutuku nikipita hapo kukupa mkono wa Xmas!!
 
Mnampenda? We na nani?

Babu hapendi mtu, japo anawatakieni xmass njema yenye amani, furaha na upendo!

babu una wivu mwe, kabaila we babu
 
Habari za siku Reverend... Aisee... unakuja ofisini tunafunga kwa sala na maombi huyo pepo wa vikwazo aondoke
Askofu hujambo! nimemiss mahubiri yako....msalimie sista gabriela!
 
Habari za siku Reverend... Aisee... unakuja ofisini tunafunga kwa sala na maombi huyo pepo wa vikwazo aondoke

Nadhani nitakushtaki kwa Mungu mwenyewe! Niko salama salimini wanakondoo wanaendelea kuvunwa hasa kuelekea kwenye Noeli. Utakatiza mitaa ya kati kupata Mbege na Gongo kule migombani?
 
Mkuu angalia sana afya yako JF isije kukuletea magonjwa nyemelezi, unene husababisha magonjwa lukuki ya moyo! Great thinkers huyaita Non Communicable Diseases. Hahahahahah

Happy X-mas buddy!

Happy X-mass and Merry New Year. Haa haa.
 
Askofu hujambo! nimemiss mahubiri yako....msalimie sista gabriela!

Sijambo mpendwa, njoo kanisani usikie mahubiri ndugu yangu... Yesu azaliwe moyoni mwako!! Hivi na wewe unapewa huduma na Sr. Gabriela, maana nasikia St. Roya Kabinafsisha huduma zake

Nadhani nitakushtaki kwa Mungu mwenyewe! Niko salama salimini wanakondoo wanaendelea kuvunwa hasa kuelekea kwenye Noeli. Utakatiza mitaa ya kati kupata Mbege na Gongo kule migombani?

Lol, Reverend sasa hao kondoo unaenda kuwachinjia migombani? Kumbuka kuendesha sala ya toba kabla hujawachinja

Sio kabaila tu ni beberu na bepari!! :whoo::whoo:akirudi hapa namwamisha meza!

Unamuweka kwenye Mkeka au za kichina china?
 
Sijambo mpendwa, njoo kanisani usikie mahubiri ndugu yangu... Yesu azaliwe moyoni mwako!! Hivi na wewe unapewa huduma na Sr. Gabriela, maana nasikia St. Roya Kabinafsisha huduma zake

Unamuweka kwenye Mkeka au za kichina china?
hakika leo ntakuja kupata sala ya toba!! Ndo maana nikakwambia umsalimie tu St. RR naye ni kabaila ka babu kamficha Sista gabriela hata salamu tunashindwa kumpa! (btw i hope sala ya leo itaambatana na Mvinyo, nna kiu Askofu)
 
The same to you Dear!! hahaha ila ntasimamisha tukutuku nikipita hapo kukupa mkono wa Xmas!!

Ninavyokusubiri kwa hamu mwe, ukishasoma ujumbe futa wapwaz wasione watanionea wivu waanze kufanya mipango ya kukuzuia njiani usisahau kunibebea kidumu cha ulanzi (niko serious katika hili) nimeumiso
 
Aisee Maty... Ubarikiwe sana mpendwa...



Reverend.... Heri ya Noeli... Yesu azaliwe moyoni mwako (tena)
[/LEFT]

askofu nimekumisije upo nnji hii kweli
 
Ninavyokusubiri kwa hamu mwe, ukishasoma ujumbe futa wapwaz wasione watanionea wivu waanze kufanya mipango ya kukuzuia njiani usisahau kunibebea kidumu cha ulanzi (niko serious katika hili) nimeumiso
hahahaha hilo tu sema jingine mama! I promise! vp na mbilimbi unapenda?
 
hakika leo ntakuja kupata sala ya toba!! Ndo maana nikakwambia umsalimie tu St. RR naye ni kabaila ka babu kamficha Sista gabriela hata salamu tunashindwa kumpa! (btw i hope sala ya leo itaambatana na Mvinyo, nna kiu Askofu)

Baada ya misa si unajua kuna meza ya bwana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…