richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
Mhhh! Yaani mheshimiwa kajua kutunyoosha kwa kweli, sasa hivi ukimpata mwanaume wa kukununulia bia tano bar bila shaka huyo atakuwa ni "kaka jambazi" wanaume wa Dar now wamebanwa wanasema hali ni ngumu, kila sehemu mheshimiwa kabana.
Hao wanaume wa mkoa ndio chefu, sitaki hata kuwasikia maana wao kila awamu huwa wamefulia. Sahivi akina kaka hatuwaletei jeuri, kama enzi zile za JK yani mwanaume bila kuweka laki moja mezani hali mzigo. Lakini sasa hata elfu kumi siachi.
Heheiyaaaaaaaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Hao wanaume wa mkoa ndio chefu, sitaki hata kuwasikia maana wao kila awamu huwa wamefulia. Sahivi akina kaka hatuwaletei jeuri, kama enzi zile za JK yani mwanaume bila kuweka laki moja mezani hali mzigo. Lakini sasa hata elfu kumi siachi.
Heheiyaaaaaaaaa[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]