Tokea awamu hii ianze "wanawake wa Dar tumenyooshwa" tumekuwa zaifu

Ni mwendo wa konyagi tuu maana hakuna namna
 
Hahahahaha imepenya hiyo. Na lazima mkae na muwe na moyo wa uvumilivu tuu kama hao wengine
 
Elfu kumi sina naomba nipunguzie mpk buku7[emoji1] [emoji23] . Si unaona hali yenyewe mambo yamebana tuoneleane huruma
 
Kaka Jambazi
 
Kama unataka biere nione nikununulie
 
Lazima sauti yake iwe nzito na yenye mikwaruzo,
Macho ya yaloiva kwa kukoswa usingizi mara kwa mara.
Huyo halewi asilani hata kama atakunywa hizo tano.
Uso una rangi nyingi na ndevu kiasi kwa sababu ya mikorogo iliyodunda.
 
Lazima sauti yake iwe nzito na yenye mikwaruzo,
Macho ya yaloiva kwa kukoswa usingizi mara kwa mara.
Huyo halewi asilani hata kama atakunywa hizo tano.
Uso una rangi nyingi na ndevu kiasi kwa sababu ya mikorogo iliyodunda.
Hahaaa unawajUa hawa watu wa dizaini hii vizuri sana....mm nikiwaonaga nahisi huruma moyoni..maana sio kitu kidogo mtu ngozi kuwa vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…