MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Yeye ndo alieianzisha ama??Mwimbaji mkali wa R & B ni R. Kelly tu.
Hao wengine hamna kitu.
Yeye ndo alieianzisha ama??
Jamaa kasema toka dunia ianze sio marekani tuHapana.
Yeye ndo mfalme wa R & B Marekani!
Put that woman first hii bonge ya nyimboJaheim na R.Kelly wote wanajua sana.. bt nafikili R.Kelly ndo anaeheshimiwa zaidi.
& kwa bongo sijaona kama Joslin
wapo wengi,kama vile joe Thomas, boyz men, blue, usher Raymond, mary j blige( rnb, soul, pop), hao blue ni hatari saana etcJaheim na R.Kelly wote wanajua sana.. bt nafikili R.Kelly ndo anaeheshimiwa zaidi.
& kwa bongo sijaona kama Joslin