NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 May 2, 2012 #1 wana jf naomba kujua jumla kuna one za tatu ngapi???
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,137 Reaction score 17,908 May 2, 2012 #2 Tatu-moja Marian na mbili Feza Boys...
Vodka JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 906 Reaction score 96 May 2, 2012 #3 Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 6,137 Reaction score 17,908 May 2, 2012 #4 Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Noted Mkuu...
NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 May 2, 2012 Thread starter #5 KWELI MWAKA HUU MAUMIVU 13 nne tu
Songoro JF-Expert Member Joined May 27, 2009 Posts 4,122 Reaction score 1,021 May 2, 2012 #6 Mbona shule za Seminary zimeanza kupungua kwenye kumi bora baada ya Dr.Ndalichako kudhibiti njia shirikishi kwenye mitihani!
Mbona shule za Seminary zimeanza kupungua kwenye kumi bora baada ya Dr.Ndalichako kudhibiti njia shirikishi kwenye mitihani!
rmashauri JF-Expert Member Joined Jan 29, 2009 Posts 3,011 Reaction score 456 May 2, 2012 #7 Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Na majina yao ni haya:- 1. Faith Assenga - Marian 2. Zawadi Mdoe - Feza 3. Belnadino Mgimba - Minaki 4. Jamal Juma - Feza
Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Na majina yao ni haya:- 1. Faith Assenga - Marian 2. Zawadi Mdoe - Feza 3. Belnadino Mgimba - Minaki 4. Jamal Juma - Feza
NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 May 2, 2012 Thread starter #8 naeza pata wapi full report ya tokeo nijue 1,2,3,4 na 0 ni ngapi.