Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,785
Akichangia hoja ya Waziri wa Elimu , hivi majuzi Mhe. Tundu Lissu, namnukuu ;
Ndipo aliposimama Mnadhimu wa Sirkali akija kwa ticket ya "kuhusu utaratibu aidha muongozo wa spika"
Mhe, Lukuvi alilenga kwenye neno TONGOZA kwamba linashabihi ktk lugha za kuudhi, aidha si ktk lugha nzr za kibunge.
Alimtuhumu Mnadhimu mwenzake wa upande wa pili.
Palisimama wabunge takriban wawili upande wa upinzani , nakumbuka Mhe. Machali na Mkosamali wakimtete Lissu kwa maana ya kua lugha ile haikua ya kuudhi.
Aidha upande wa gavmenti walisima wa hesh, wawili wakimsapoti Lukuvi.
Mhe, Ole Medeye alidai yeye ni lekchara wa Kisw na anathibitisha lugha husika ni ya kuudhi.
Kabla hajaongea Medeye , ktk ufafanuzi wake Machali alisema neno TONGOZA halina tofauti na SHAWISHI.
Akaja Mhe, Ole Sendeka yeye alimuunga mkono Lukuvi , na akamithilisha kwa kusema: "Kama TONGOZA ni SHAWISHI, je? Kuna mtu anaweza KUMTONGOZA mamaake ?"
Nna imani baadhi yetu hapa watakua waliuona mjadala huu, na wale ambao hawakuuona basi ndiyo watanufaika kuelewea hapa.
Nami nafsi ikajikuta imeshindwa kuliacha hili lipite ilhali na sie tujiitao "wafikiriaji wakubwa" hatujalijadili .
Nihitimishe kwa kusema ubishi huu ulitukia ukimkuta Naibu spika, ambae ktk maamuzi yake juu ya hili hakuweka bayana kati ya Lukuvi na Lissu nani mshindi.
(mwisho nukuzi)"Huu muswaada aliouleta waziri hauna mantiki wala tija yeyote ktk Elimu ya Tanzania. Hii ni sawa serikali iliopo madarakani kutaka kutumia huu ubabaishaji KUTONGOZEA kura za 2015"
Ndipo aliposimama Mnadhimu wa Sirkali akija kwa ticket ya "kuhusu utaratibu aidha muongozo wa spika"
Mhe, Lukuvi alilenga kwenye neno TONGOZA kwamba linashabihi ktk lugha za kuudhi, aidha si ktk lugha nzr za kibunge.
Alimtuhumu Mnadhimu mwenzake wa upande wa pili.
Palisimama wabunge takriban wawili upande wa upinzani , nakumbuka Mhe. Machali na Mkosamali wakimtete Lissu kwa maana ya kua lugha ile haikua ya kuudhi.
Aidha upande wa gavmenti walisima wa hesh, wawili wakimsapoti Lukuvi.
Mhe, Ole Medeye alidai yeye ni lekchara wa Kisw na anathibitisha lugha husika ni ya kuudhi.
Kabla hajaongea Medeye , ktk ufafanuzi wake Machali alisema neno TONGOZA halina tofauti na SHAWISHI.
Akaja Mhe, Ole Sendeka yeye alimuunga mkono Lukuvi , na akamithilisha kwa kusema: "Kama TONGOZA ni SHAWISHI, je? Kuna mtu anaweza KUMTONGOZA mamaake ?"
Nna imani baadhi yetu hapa watakua waliuona mjadala huu, na wale ambao hawakuuona basi ndiyo watanufaika kuelewea hapa.
Nami nafsi ikajikuta imeshindwa kuliacha hili lipite ilhali na sie tujiitao "wafikiriaji wakubwa" hatujalijadili .
Nihitimishe kwa kusema ubishi huu ulitukia ukimkuta Naibu spika, ambae ktk maamuzi yake juu ya hili hakuweka bayana kati ya Lukuvi na Lissu nani mshindi.