Tony Rashid vs Mahlangu ulingoni tena

Tony Rashid vs Mahlangu ulingoni tena

Dogo alikera sana mashabiki kwenye mchezo wake uliopita. Yaani alikuwa anaongoza kwa point kwenye raundi 11, halafu raundi ya mwisho anakuja kupigwa KO!

Yaani mpinzani wake alikuwa anaruka ruka tu kama panzi kwenye raundi zote 11! Halafu ghafla, dogo akazidiwa maarifa na kupoteza pambano!

Binafsi hata sina hamu ya kumuangalia kwa mara nyingine.
 
Dogo alikera sana mashabiki kwenye mchezo wake uliopita. Yaani alikuwa anaongoza kwa point kwenye raundi 11, halafu raundi ya mwisho anakuja kupigwa KO!

Yaani mpinzani wake alikuwa anaruka ruka tu kama panzi kwenye raundi zote 11! Halafu ghafla, dogo akazidiwa maarifa na kupoteza pambano!

Binafsi hata sina hamu ya kumuangalia kwa mara nyingine.
ilikuwa bahat mbaya
 
Back
Top Bottom