Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Ijumaa hii,25 feb 2022 wanarudiana tena..ikumbukwe pambano la kwanza Tony alipigwa. Sasa sijui safari hii anatuwakikisha vipi Watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwa bahat mbayaDogo alikera sana mashabiki kwenye mchezo wake uliopita. Yaani alikuwa anaongoza kwa point kwenye raundi 11, halafu raundi ya mwisho anakuja kupigwa KO!
Yaani mpinzani wake alikuwa anaruka ruka tu kama panzi kwenye raundi zote 11! Halafu ghafla, dogo akazidiwa maarifa na kupoteza pambano!
Binafsi hata sina hamu ya kumuangalia kwa mara nyingine.