Tony Yayo kuzuru segerea

Kilongwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
423
Reaction score
116
jamani nimesoma Ipp vle kama sikosei kuwa kundi la G Unit litakuwa ndani ya Bongo je hizi habari ni kweli au ndio mambo fulani,kama ni kweli Mzee Tony Yayo atakuwa ndani ya nyumba?? kwani kuna jamaa wanasema kuwa The Game atakuwa kenya May 6.jamani muliopo huko tujulisheni haya.Na pia nimesikia kuwa bwa mdogo Yayo anatarajia kufanya shooting na masela wa segerea..Zimekaa kipichapicha..
 
jamani ina maana hamna mwenye details au ndio nimeboa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…