Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
- Thread starter
-
- #101
Ukijua kuvitofautisha hivi vitu;lionel messi anashika nafasi ya pili lakini cha ajabu mpinzani wake kwa miaka 10 mfululizo anashika nafasi ya 6 kwa mujibu wa list.
bongo movies ndio wenye tabia ya kumsifia mwenzao wakati ameshakuwa marehemu hivyo basi washabiki wa mpira tuachane na mila za bongo movies.
hivi huyu cristiano ronaldo tunamchukuliaje?
- kama messi anamshinda maradona sasa kwa nini ronaldo asimshinde maradona?
Mkuu kuchukua ballon d'or moja si kigezo cha kuwepo humo,kuna watu kama kaka,van basten,ronaldo de lima hawapo hapo na ni wakali sembuse weah!!??....Ila sijakuelewa kbs unaposema Leo atolewe hapo, atoke yy aingie nan?? don't expect it now and forever
Sijamdharau Cristiano ila hapo ndo anafaa kuwa..
Sijawah fuata updates za mchambuzi wa kibongo mm,na wala sitafanyaga hivyo....hata nikileta source vilevile tu mtabaki na misimamo yenu...kubali,goma yote sawa tu..
Hakuna asiyemjua Garincha gwiji wa kibrazil....mpira anaujua na anaujua kwelikweli...sasa swali kwani ambao hawajamweka hapo hawamjui ama??? au wamemsahau au wamemkaushia??? Nilichogundua mabao ya watu ya YouTube yanawadanganya mno...Nilichogundua hujamfuatilia Weah kabis wala usingelinganisha na Kaka au DE lema asee haupo serius kaka
Mes bado sana mzee hebu tafuta mtu anaitwa garincha
Tuache mahaba au ushabiki usio na tija kabisa tuweke vitu katika uwazi na ukweli,yaezekana hujawashuhudia hao watu ila zaidi unajaji kwa uyaonayo sasa
Hata maradona alistahili kumenyana na pele pale juu sio huyo messi au Ronaldo japo wanafanya mazuri mengi ila umeweka wakongwe basi wape heshima yao.
mwenzangu mpaka nilete hapa jukwaani nimetoa kwenye chanzo cha kuaminika..sijakurupuka..Yupo sahihi japo naona umemkwepa kisomi kumjibu,
Shaffii katolea mfano tu,
Mara ya mwisho ilikuwa 1999 kwa sasa sijasikia au kuona popote wajuvi wa mambo wamekaa na kutoa list ya wachezaji wa muda wote.
Any way sio mbaya maana kila mmoja anamaono yake
Kaka hapo utanikosea,Hakuna asiyemjua Garincha gwiji wa kibrazil....mpira anaujua na anaujua kwelikweli...sasa swali kwani ambao hawajamweka hapo hawamjui ama??? au wamemsahau au wamemkaushia??? Nilichogundua mabao ya watu ya YouTube yanawadanganya mno...
OKKaka hapo utanikosea,
Garincha,didi,zeco nimewaona wakicheza mpira uwanjani,wingali bado wanajua soka la ushindani uwanjani.
Nimemuona weah,nimeanza kuangalia mpira tangu miaka ya themanini,tukiwa tunakusanyika kwenye nyumba moja kijiji kizima na kingilio kule kwetu uwe mkubwa au mdogo ilikuwa ni kopo la pombe ya kienyeji
Mzee utanikosea sana,hata youtube huwa Sina muda wa kuangalia nani kafanyaje,kifupi sinaga muda wa kwenda youtube.
So naomba tuishie hapa maana mbeleni waeza nivunjia heshima bure!?
Upepo wa Pesa na Kibwagizo chako Mkuuu kwenye Font page,hahaha sawa Mkuuu!Inaonyesha ulianza kushabikia mpira mwaka 2015!!
Puskas alistahili kuwa number 2 hapo sio huyo aliezaliwa kipindi cha red card,penalty na substitution hamjamtendea haki
Alafu huyo ronaldo hakustahili hata top 10..... Hivi kweli ronaldo anamzidi zico,didi,lato,telmo zarra au garrincha??? Duh hatupo serious kabxa
Kwa statistics gaucho ni mchumba hadi kwa neymar jr
Statistics huwa hazidanganyi mkuuKwa statistic hadi drogba na Etoo utawaona wamemzidi Gaucho.
Kulinganisha ubora wa uchezaji kwa kupitia statistic ni ujunga
Statistics huwa hazidanganyi mkuu
Wewe wasemakwaiyo Drogba ni bora kuliko Gaucho?
Wewe wasema
Sina jibunauliza
MuongoGaucho hakuwahi kutwaa baloon d' or ila weah ametwa...thats a difference,
Wewe Ndo Muongo,tena Sijui Una Akili gani,Husomi meseji zilizopita kuwa Nilishakubali kuwa aliwahi Kutwaa,slow learner wewe...muongo wewe husomi Previous meseges!Muongo
Hii ya Degea umekoleza tu, nashauri hii listThe Top ten of footballers of all time
1.Edson De Nascimento (Pele)
2.Diego A.Maradona
3.Leonel Messi
4Cristiano Ronaldo
5.Alfredo Di Stefano
6.Gerd Mueller
7.Eusebio
8.Ronaldinho
9.Zinedine Zidane
10.David Degea
Kwa ishirini bora ningeshauri hii listHii ya Degea umekoleza tu, nashauri hii list
- Edson De Nascimento (Pele) -Brazil
- Leonel Messi -Argentina
- Diego A.Maradona -Argentina
- Frenc Puskas -Hungary
- Eusébio da Silva Ferreira -Portugal
- Gerd Mueller -German
- Cristiano Ronaldo -Portugal
- Alfredo Di Stefano -Argentina
- Arthur Antunes Coimbra -Zico -Brazil
- Zinedine Zidane -France