Top 10 Gold digger pranks 2017

Hahhha am done with Bongolians. Wakiweka mandishi weka ka picha. Sasa ameweka picha weka maadishi. [emoji137][emoji137][emoji137]
 
Hizi pranks kwanini wabongo hawafanyi hapa.? Yani zinafurahisha mno sjui kwanini hawagusi.. Walikuwepo vuvuzela comedy clouds tv na segment ya imekubamba ambayo ni PRANK baada ya show kufa na pranks zikapotea ghafla. Kenya wana ile NASWA
 
Hizi pranks kwanini wabongo hawafanyi hapa.? Yani zinafurahisha mno sjui kwanini hawagusi.. Walikuwepo vuvuzela comedy clouds tv na segment ya imekubamba ambayo ni PRANK baada ya kufa na pranks zikapotea ghafla.
Mkuu labda tuanzishe sisi,
 
Most of these pranks are scripted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…