donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
weka kwa maandishi
Sasa mkuu prank utaiona vipi kwa maandishi?weka kwa maandishi
Mkuu labda tuanzishe sisi,Hizi pranks kwanini wabongo hawafanyi hapa.? Yani zinafurahisha mno sjui kwanini hawagusi.. Walikuwepo vuvuzela comedy clouds tv na segment ya imekubamba ambayo ni PRANK baada ya kufa na pranks zikapotea ghafla.
Kabisa maana tv shows zetu zimeelemea kwenye celebrities tu ila pranks/ social experiment hawagusi kabisaMkuu labda tuanzishe sisi,
maelezo ya ilivyo..Sasa mkuu prank utaiona vipi kwa maandishi?