Top 10 highest paid Athletes of all time

Nilijua Michael Jordan ataongoza ila sikudhani kama Schumacher atakuwa top ten. Jamaa alikuwa mwamba wa F1 ila sasa bado yuko kitandani baada ya ajari aliyopata akiwa hiking. Mwanae kaanza F1 mwaka huu, anakuwa mtu wa tatu kwenye ukoo wa Schumacher kushiriki F1
 
Reactions: BAK
Matangazo ya makampuni mbali mbali za biashara na pia mkataba wake na NIKE umemnyanyua sana MJ.

 
Matangazo ya makampuni mbali mbali za biashara na pia mkataba wake na NIKE umemnyanyua sana MJ.
MJ hakuwa na misifa ya ajabu kama kina MC Hammer au Mike Tyson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…