Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

“Masihara yakizidi sana madhara makubwa huweza kumpata mtu hii huweza kuwa kijamii,kiuchumi na kiimani,utakuta umejishushia heshima yako,hutoaminiwa na wengi na kuna baadhi ya taasisi watakupuuza.

Hakuna mzazi awezae kumpa mtoto wake jina “mzigo wa pumbu!.watu kama hawa hawajielewi kwa kujitakia matatizo pale unapohitajika uambatanishe vyeti vyako vyote na majuto hutokea hapo tena ya kujitakia mwenyewe!.
Mana anajikuta kila cheti kina jina tofauti na ni cheti au kitambulisho muhimu kwa mazingira ya shughuli na maisha yetu ya kila siku.
 
Palinswela ndipalala,nchuli nchinungu, chilogo chikapwelela, ngungulu nkuwinikila, chilambo mpwachaka,chilambo chinilombwa, mkaza mwana, cecilia ambangile,
 
ASHANTO MBAGA
 
HII DHIHAKA NI YA KISHAMBA, SIJAONA JINA LA AJABU HATA MOJA .

Hakika Tumemong,onywa kifikra na lengo la dhana njama ya Bw. MacAulay inaonesha kufanikiwa kwa asilimia 99.1% kwa jinsi wabantu na jamii zingine za kiafrika zinapojidharau hhata kwa utambbulisho wa majina yao

BINA FSI SIJAONA JINA LA AJABU HATA MOJA KATI YA HAYO NINACHOONA YANAWAKILISHA VYEMA DESTURI ZA JAMII FULANI KAMA ILIVYO KWA MAJINA YA CHENG, DOS SANTOS, CHOUDHURY HATA AKINA CAMPBELL
 
 
Eh..! mkuu hata "Mzigo wa pumbu" ?..

so kwa ubantu huo,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…