mkulungwa03
JF-Expert Member
- Apr 1, 2021
- 317
- 243
πBisi zachangarawe
πbwa ha ha ha
πHery Martial Rajaonarimampianina Rakotoarimanan rais mstaafu madagascar
DuuhTigamanywa Buhatwa - Dodoma Secondary 1996 - 1999
Mandinje Machipandunji Nunduma - Royal Deep Cargo Services Ltd
Amani Jidulamabambasi - RIP
Daniel Nswanzungwanko
Kate Kamba
Joseph Selasini
Ali Forty - Dodoma
πNyamanda Makenena
πMizengo Kayanza Peter Pinda,PM. Advocate fungamtama wakili wa RA na Ngeleja. MaraNya_member wa Jf!
πmbona minaki in majina ya ajabu? umesoma huku au kwa vile iko porini nini?
πGrace Mboro weruweru 1996
πSITOSAHAU DONGO
πbwa ha ha ha ha YULISELEKULANGWA RUHITABAHAGWA
πMarceale Mafinyundocha Mtefunya Uru Seminary 1996-1997
Hao watu saiz wako wao[emoji23]
Yuko Udsm ni lecturer ndaki ya COaFTYuko wapi siku hizi Siajali
Aliniacha form two pale Boys.
Mtu Safi Sana.
Hili jina sio geni kabisa, wapi hiyo?haha
Naantombe Mushi
na mwamba alikua kiongozi wa msosi.. na siku ya nyama alikua akizila kweli kweli na wanakamati wenzake!! πMnofu M. Manyama umbwe boys 2010.
Mpaka leo sijajuaga M hyo ya katikati ni nini