Hadi kwa makapuku kuna ushindani hivi duuuhYani kwakweli tukaze buti, mi mwenyewe napumulia machine tu kwa sasa anytime ntakuwa out
Kuna mtu huyo toka nje mpaka namba moja....Hadi kwa makapuku kuna ushindani hivi duuuh
Nani tena huyo anachukua nafasi zetuKuna mtu huyo toka nje mpaka namba moja....
Chungulia kwenye linkNani tena huyo anachukua nafasi zetu
Ngoja niicheckChungulia kwenye link
Kwasasa kuna Babu JP yuko nafasi ya 8 mi wa 9 [emoji134] [emoji134]Nani tena huyo anachukua nafasi zetu
Nipo nafasi ya 11Kwasasa kuna Babu JP yuko nafasi ya 8 mi wa 9 [emoji134] [emoji134]
Na sijui Guasa Amboni ndo anaongoza jahazi
Sasa tutoke vipi [emoji2]Nipo nafasi ya 11
Hatoki MTU hapoSasa tutoke vipi [emoji2]
Ndo tunaaga hivyo kwenye orodhaHatoki MTU hapo
Halafu mbona trophy points haziongezeki?Ndo tunaaga hivyo kwenye orodha
Mi sijui vigezo vinavyotumika kwakweli yani 113 mpaka inachoshaa, kilichobaki tupeane like za huruma tu ili kusubiri hisani ya watu wa marekaniHalafu mbona trophy points haziongezeki?
Maana imeganda 113 tu, bora tupeane hizo likes za huruma huku tukisikilizia kama trophy points zitaongezaMi sijui vigezo vinavyotumika kwakweli yani 113 mpaka inachoshaa, kilichobaki tupeane like za huruma tu ili kusubiri hisani ya watu wa marekani
Yeahhhhh maana hakuna namna nyingineMaana imeganda 113 tu, bora tupeane hizo likes za huruma huku tukisikilizia kama trophy points zitaongeza
Mimi nahisi kwa mda zingefika hata 150Yeahhhhh maana hakuna namna nyingine
Halafu we ni wa 12, wa 11 ni Barbadosa, sema siku wakiibuka tu tutafikisha trophy 200[emoji85] [emoji85] [emoji85]Mimi nahisi kwa mda zingefika hata 150
Kweli mimi wa 12 nilihesabu vibaya. Zaidi ya hapo [emoji2] [emoji2] [emoji2]Halafu we ni wa 12, wa 11 ni Barbadosa, sema siku wakiibuka tu tutafikisha trophy 200[emoji85] [emoji85] [emoji85]