TOP 10 makapuku tishio JF

Mkuu mbona ni kishakushukuru..au umesahau

Ha ha ha, kwenye hii thread ambayo umejitangazia ubabe kwa wakongwe!

Halafu nadhani kuna harufu ya upendeleo, hii orodha itakuwa imechakachuliwa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bitoz lakini hana mademu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ha ha ha, kwenye hii thread ambayo umejitangazia ubabe kwa wakongwe!

Halafu nadhani kuna harufu ya upendeleo, hii orodha itakuwa imechakachuliwa.
Alaumiwe invisible km kuna hitilafu
Sisi ni kicheko tu
 
Ila inabidi tuwashukuru wakongwe kwa kutuunga mkono na kutuoneasha njia
 
Ila inabidi tuwashukuru wakongwe kwa kutuunga mkono na kutuoneasha njia
Wapo baadhi km Mshana jr sijawahi gombana nae ila wengi ni full magumashi + dharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…