Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama binti ana uwezo wa kufundisha kuzidi mwanaume kwanini asipewe nafasi ?so sisi wavaa kanzu tunanyanyasa wamama au siyo
Unatamka Talaka mara tatu ndoa imevunjika hio,Cha kushangaza na ndio nchi ambazo ndoa zina dumu.
Note: Ni haki ya kila mtu bila kujalisha jinsia yake kupata ajira.
MAKOBAZI NI SHIDA SANA MPAKA SOKONI KOBAZI ZINAENDAVyanzo vingi vinaonesha nchi hizi ndio zinaongoza kwa kuwa na imbalanced work force, Yaani baadhi ya nchi kwenye hii orodha ni mwiko mwanamke kwenda chuoni, kazi zinabanwa ziwe kwa wanaume tu.
View attachment 3065400
View attachment 3065401