TOP 10: Wanasoka matajiri zaidi Duniani 2022

TOP 10: Wanasoka matajiri zaidi Duniani 2022

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Messi, Ronaldo na Neymar wanaweza kuwa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi lakini thamani yao ya jumla iko chini kwa mwanasoka tajiri zaidi Duniani.

Faiq Bolkiah - mtoto wa Mwana wa Mfalme wa Brunei - mwenye utajiri wenye thamani inayokadiriwa kuwa $20 bilioni (zaidi ya Tsh. Trilioni 46), yuko kwenye ligi yake mwenyewe na mwanasoka tajiri zaidi Duniani.
1664389678247.png
 
Messi, Ronaldo na Neymar wanaweza kuwa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi lakini thamani yao ya jumla iko chini sana ya mwanasoka tajiri zaidi duniani. Faiq Bolkiah - mtoto wa Mwana wa Mfalme wa Brunei - mwenye utajiri wenye thamani inayokadiriwa kuwa $20 bilioni (zaidi ya Tsh. Trilioni 46), yuko kwenye ligi yake mwenyewe na mwanasoka tajiri zaidi duniani.
View attachment 2371006
Ronaldo, flamin na beckham washastafu
 
Messi, Ronaldo na Neymar wanaweza kuwa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi lakini thamani yao ya jumla iko chini kwa mwanasoka tajiri zaidi Duniani.

Faiq Bolkiah - mtoto wa Mwana wa Mfalme wa Brunei - mwenye utajiri wenye thamani inayokadiriwa kuwa $20 bilioni (zaidi ya Tsh. Trilioni 46), yuko kwenye ligi yake mwenyewe na mwanasoka tajiri zaidi Duniani.
View attachment 2371006
Huyo Faiq hela zake za urithi hajazipata kwa kucheza mpira
 
Messi, Ronaldo na Neymar wanaweza kuwa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi zaidi lakini thamani yao ya jumla iko chini kwa mwanasoka tajiri zaidi Duniani.

Faiq Bolkiah - mtoto wa Mwana wa Mfalme wa Brunei - mwenye utajiri wenye thamani inayokadiriwa kuwa $20 bilioni (zaidi ya Tsh. Trilioni 46), yuko kwenye ligi yake mwenyewe na mwanasoka tajiri zaidi Duniani.
View attachment 2371006

Riport imekaa mkao sana sema nn mzee hujasema chanzo cha hii takwimu ni nani katoa na ni ya kipindi gn ungeweka hii wazi ungekua umemaliza story sasa hapa story yako ina supu chumvi mbogamboga ila haina nyama
 
Back
Top Bottom