Top 10 ya michezo inayo lipa zaidi duniani

Hapa nikwamba marekan ndio baba wauchumi namipesa mwisho wakunukuu
 
Hahaaaa, mkuu ni juhudi tu za kutaka kujua jua mambo mengi mengi, ata ww unaweza kuwa na nondo kama hizi endapo tu ukiamua. Karibu sana
Uko nondo mzee
 
Nimekula, nimeshiba, mama ntilie nimemlipa denj lake la jana la msosi, nimebakiwa na elfu 6 na mia 4 hapa, kodi bado miezi miwili mbele, ndani nina kiroba cha unga na dagaa wakutosha.

Sina mawazo wala sifikirii kuwa kama bakressa,

NIWAZE nini tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Unaijua mbunye wewe?
Muulize kajala

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mbape analipwa zaidi ya huyu
 
Sahihi kabisa, hiyo ni baada ya kusaini mkataba mpya. Mkataba mpya unamfanya apokee $61 millioni sawa na Tsh 142,008,000,000 kwa mwaka mmoja. Kwa sasa Mbappe ndio mwanamichezo anaelipwa zaidi duniani kabla ya endorsement.

Lakini mkuu nikufamishe tu endapo Stephen Curry wa Golden State Warriors akisaini mkataba mpya, mkataba huo utamfanya alipwe zaidi ya Mbappe. Tunarudi pale pale kwamba Basketball ndio mchezo unaolipa zaidi. Mcheza basketball anaelipwa zaidi kwa sasa ni Nikola Jokic wa Denver Nuggets baada ya hapa majuzi kusaini mkataba mpya wa miaka 5 utakao mfanya apokee $270 millioni sawa na Tsh 628,560,000,000. Hivyo kwa mwaka atakuwa akivuta $54 milioni sawa na Tsh 125,712,000,000 kwa mwaka mmoja.

Kabla ya mkataba huo Stephen Curry ndio alikuwa akilipwa zaidi katika mchezo wa Basketball na kwa michezo yote kwa ujumla. Anapokea $48 millioni sawa na Tsh 111,744,000,000 kwa mwaka mmoja.
Mbape analipwa zaidi ya huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…