Top 10 ya Wazalendo Tanzania kwa sasa, 2023

Top 10 ya Wazalendo Tanzania kwa sasa, 2023

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.
 
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake. Mzalendo wa kweli daima anaweka maslahi ya nchi mbele na ya kwake binafsi nyuma. Kwa maana hiyo, mzalendo ni mtu yeyote mzawa na mwenye kuipenda na kujitoa mhanga na saa nyingine ikibidi kufa kwa ajili ya nchi yake. Uzalendo unabeba dhana nyingi sana ikianzia asili, utamaduni, lugha, siasa, historia, nk. Dhana zote zikifungwa kwenye dhana kuu ya utaifa.
 
Kwenye listi langu, nipo namba 11
Nikimalizia chai yangu ikiwa na mihogo hapa na papai na mapera, nitafikia wa Kumi.

Huu msako msako mshike mshike, unabidi ushibe asubuhi na mapema.
 
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.
tibaijuka naye ni mzalendo???
Jizi kubwa

Huyo ni maaavi ya mhalo kabisaaaaaaaa
 
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.
FREEMAN AIKAELI MBOWE ni mzalendo wa wakati wote!
 
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.
Umenisahau mimi
 
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.
Toka lini Annah Tibaijuka akawa mzalendo au wewe mtoto wa juzi? Huyo si ndo alikuwa miongoni mwa waliogawiwa pesa za ESCROW. Hata kwa DP World hakuingizwa kwenye mfumo wa rushwa, angekuwemo usingemsikia akipinga mkataba huo.
 
Mzalendo ni mtu ambaye anaitakia mema nchi yake na yuko tayari kuitetea kwa vyovyote hata kama ikimgharimu mateso, kutengwa, kudhihakiwa, kutukanwa, kufungwa au kuuawa kwa kufanya hivyo.

Ifuatayo ni orodha ya wazalendo wetu wa Kitanzania kwa sasa;

1. Wakili Msomi Mwabukusi

2. Wakili Msomi Madeleka

3. Dk. Wilbroad Slaa

4. Alphonce Lusekelo na wenzake waliofungua kesi ya kupinga Mkataba wa DP World kwa kuwawakilisha Watanzania ambao hawakubaliani na vifungu tata kwenye mkataba huo.

5. Shangazi Maria Sarungi na timu nzima ya SAUTI YA WATANZANIA.

6. Mdude Nyagali

7. Wakili Msomi Dk. Nshala

7. Prof. Shivji

8. Waziri Mkuu msitaafu Mzee Warioba

9. Prof. Anna Tibaijuka

10. Watanzania wote ambao licha ya vitisho bado wanaendelea kupinga vitendo viovu vinavyofanywa na watawala.

Baadhi ya wazalendo hawa wanapitia wakati mgumu sana kwa sasa na wengine huenda wakapatwa na mabaya zaidi lakini historia ya Taifa letu itawakumbuka daima.

Hii ni yangu.

Kama hukubaliani nayo, weka yako.

Muwe na siku njema.


Andiko lako halina uhalali, Mmeru yuko wapo?
 
Back
Top Bottom