Ameweza: Nothing
1. Kupata kura asilimia 80% kwa kauli mbiu uliyovutia wapiga kura wengi
2. Kutishia uhuru wa Bunge, bila Bunge kupiga kura ya kutokuwa na imani nae
3. Ameweza kulinda rafiki zake walioshirikiana katika harakati za kisiasa
4. Kuvumilia kauli za kejeli kutoka kwa wananchi wake
5. Kuachia kila kiongozi kutoa kauli anazotaka mahali popote
6. Kubadilisha siasa za nchi kutoka Ujamaa na Kujitegemea hadi Ubepari bila kubadilisha Katiba
7. Ameweza kuwa na Baraza kubwa la mawaziri bila kujali ufanisi wao
Ameshindwa: Everything
1. Kutimiza ahadi karibu zote alizotoa wakati wa kampeni
2. Kulinda Katiba ya nchi kwa kuingilia uhuru wa Bunge
3. Kuhakikisha sheria za nchi zinafanya kazi ipasavyo hasa kwa watuhumiwa wa Ufisadi na viongozi wengine wabadhirifu
4. Kutoa majibu ya changamoto linazoikabili nchi (hasa kipindi cha financial crisis, na majanga mengine)
5. Kuhakikisha nidhamu kwa watendaji wote wa serikali anayoongoza, hivyo kuifanya serikali ionekane haina nidhamu
6. Kulinda Katiba ya nchi kwa kusimamia siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, au kuibadilisha kwa taratibu zilizopo
7. Kuimarisha umoja wa kitaifa, ushirikiano wa kweli na majirani (badala ya mataifa makubwa pekee)
8. Kufahamu kuwa shule ni wanafunzi na waalimu, hospitali ni madaktari, vifaa na dawa
9. Kudumisha na kurekebisha mipango ya kukuza uchumi na kupunguza umasikini kwa wanachi wake
10. Ajira milioni 1