Top 100 companies in Africa,By Revenue

South Africa wametisha kwenye list [emoji122][emoji122][emoji122]
 
TBL ni "quoted company" taarifa zake ziko wazi kwenye mitandao; MeTL taarifa zake zinapatikana wapi ili umma ujue mapato yake?
Sasa kunamaana gani kutoa ranks kwa kampuni ambazo taarifa zake ziko kwenye mitandao na kuacha zile ambazo hazina taarifa huko lakini zingefaa kuwepo kwenye list? Bora wangetumia muda mrefu ila wakaja na list iliyojitosheleza
 
MeTL = one of the biggest conglomerates in Africa, present in 11 African countries. Na wameemploy more than 11k people.
Kuna watu humu ndani wapumbavu sana wanashindwa hata kusoma profile ya METL a conglomerate of over 10 companies spread over 11 countries. BTW how Forbes estimated METL to do a turnover of $1.9 bln, if didn't go through METL's books?
 
Gsus south Africa!!! . This is embarrassing for the rest of Africa. Yaani kampuni ya kuku inamapato kuliko.. Acha tu. We need to pull up our socks people.
The only solution is to get rid of chama cha majinga
 
Kuna watu humu ndani wapumbavu sana wanashindwa hata kusoma profile ya METL a conglomerate of over 10 companies spread over 11 countries. BTW how Forbes estimated METL to do a turnover of $1.9 bln, if didn't go through METL's books?
Zitaje hizo nchi na biashara zake???ingia azamgroup.com ujionee
 
Kuna watu humu ndani wapumbavu sana wanashindwa hata kusoma profile ya METL a conglomerate of over 10 companies spread over 11 countries. BTW how Forbes estimated METL to do a turnover of $1.9 bln, if didn't go through METL's books?
Mkuu hyo list wameitoa kimihemko!! Huwezi sema taarifa za MeTL Group haziko mtandaoni..kwanza hyo source yenyewe mimi siiamini.
 
TBL ni "quoted company" taarifa zake ziko wazi kwenye mitandao; MeTL taarifa zake zinapatikana wapi ili umma ujue mapato yake?
Unaijua Uba Group? Je, unaweza kuicompare na KCB? Chakushangaza Uba haipo hapo kwenye list, Vp Globacom ya Mike Adenuga?
 
METL largest storage n refinery for cooking oil in the region
METL largest textile production company in the region
METL largest sisal products producer n exporter in the region
METL largest dealer n distributor of Vodacom via Safona.
METL largest logistic company in the region Glenrich with over 1000 trucks
METL fastest growing gas n oil storage, distributor n marketeer in the region Staroil.
METL largest farming group in the region in sisal, tea, cotton, cashew n palmoil.
 
Unafahamu mahesabu means tax? Hamna
kampuni inaweza ki-overdeclare tena private one.

hamna upuuzi wa kampuni serious inaogopa ku-declare hesabu sahihi..kwa utaalamu wa kodi sasa hivi ni upumbavu wa hali ya juu kuficha sales au matumizi...mahesabu sahihi hupunguza unfair kodi kwa kiasi kikubwa!

wafanyabiashara tunafeli sana tunapofichaficha mahesabu,ni kwa faida yetu kikodi na sio yao...Mo Dewji is a corn artist and a proven liar...hesabu zake sijui za 2B usd is just a plain fat lie!Simuamini mwehu yule mpenda sifa za kipumbavu huku hana hizo sales!
 

Geza

Hizi ni lies za huyo muhindi....jamaa liongo sana...hamgusi Azam on anything,halafu utasikia yeye anasema 'he is a largest...',largest on lies!
 
Wapi evidence?? ati Tea??? kweli wewe pumba
 
Geza

Hizi ni lies za huyo muhindi....jamaa liongo sana...hamgusi Azam on anything,halafu utasikia yeye anasema 'he is a largest...',largest on lies!
We my understanding of issues is more than petty arguments!
 
We my understanding of issues is more than petty arguments!

Geza

Petty arguments,una maana nimetoa petty arguments?

Ndugu yangu,mtu kwenye hesabu rasmi hesabu zake hazisemi hayo mapesa mnayoongelea,ila asimama mbele ya makamera anasema ana mapesa kiasi fulani...tuamini maneno ayasemayo kwenye camera au hesabu na assets alizonazo?

Tangu lini TV show ikaaminiwa?Siwezi muamini msema hovyo kwenye makamera mkuu...Ukiangalia kimauzo,ki-asset Mo Dewji ni fraction ya Azam Group of companies!Na hesabu za Azam zinajulikana,eti leo uje niambia kwa maneno ya mdomo tu eti Mo anaongoza TZ,nikuamini who are you really?Mo mwenyewe simuamini kwa maneno yake,wewe keyboard expert mwenzangu nikuamini tangu lini..?

Halafu unasema petty arguments,who are you to judge my arguments since they belong to me,not you..what you gave is an opinion mzee Geza!
 
Wewe Mkenya hujui chochote kuhusu METL zaidi ya ku-troll! Hatutumii "ndugu yangu au asimama au makamera"! Jifunze kiswahili fasaha ili u-troll vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…