Ata kufaa nguo tuli copy vipi simu unayo tumia niutamaduni wako. Kuna vitu vyaku copy kwa mfano taarifa kamahi sasa ulitaka iweje taarifa ina sambazwa ili kupashana habari kijana tulia.Wabongo kwa kucopy na kupest tunastahili kupata PHD!
Kiswahili tukitumie kibiashara kuvuna utajiri huh, maana waKenya wanavuna kwa kisicho chao na sisi tunaduwaa tu