Niko hapa mkuuWapi Zero IQ na bossss Kiduku Lilo wamekuja Kasi Sana mwaka huu
Enjoy mzee!
Mimi tena ???Huaminikiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyama za mwaliko hizi hatari sana.Nimekununia.
Mmmmmmmmmmmh!!Nyama za mwaliko hizi hatari sana.
Ntafanyaje sasa, kila nyumba naalikwa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ndio[emoji23]Mimi tena ???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sorry siuzi ramani ya vitani [emoji16][emoji16][emoji16]Asante sana.
Nitumie location nije kunywa mbege.
Unaona sasa. Hebu rudisha jina lako.
Nini tena wakati majuzi ile ulinitambua?Unaona sasa. Hebu rudisha jina lako.
Ningeweza ningekupigia now
Mie nilijua unakunywa mbege, kumbe uko vitani๐๐๐๐๐
Huo msaada ungepatiwaje bila hizo meseji jamaa?Hizo message ambazo ndio kigezo zina manufaa gani hapa J.f?