Top 3 most marketable Engineering Major/discipline in tanzania? fom six leaves

Top 3 most marketable Engineering Major/discipline in tanzania? fom six leaves

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
1.MECHANICAL ENGINEERING-
hii ni moja ya kozi nzuri sana , na ndo ina soko kuu kwa sasa tanzania. kutokana na uvumbuzi wa gesi ambao operation zake zinategemea sana hii major, mechanical inahusu scta ya nishati kwa karibu kabisa na watu wake wanaweza fanya kazi, viwandani, power plant, consulting film, tanesco, ministry of energy, migodini na uhitaji wao kwa sasa ni mkubwa sana.

2.CIVIL ENGINEERING-
hii ni moja ya kozi ambazo tunasema huwezi lala njaa, uhitaji wa hawa watu wa civil ni mkubwa sana kwa sasa kutokana na infrastructure growth in tanzania, pia watu hawa wanaweza fanya kazi katika consulting film, viwandani, migodini.


3.ELECTRICAL ENGINEERING-
power engineering, watu hawa wanahusika na umeme, uhitaji wa watu hawa unazidi kuongezeka kila siku, makampuni mia kwa mamia yanaingia tanzania katika secta hii, ina uhusiano wa zaidi ya 50% na MECHANICAL ENGINEERING, watu hawa pia wana intergral knowlegne of both COMPUTER ENGINEERING AND ELECTRONICS/TELECOM( the core of electronics/computer/and telecom) .Watu hawa wanaweza fanya kazi, MIGODINI, MAKAMPUNI YA SIMU, VIWANDANI, CONSULTING FILM, CONTRACTORS, WIZARANI, TBS, POWER PLANT NA TANESCO.

Kozi hizi zinapatikana Chuo kikuu cha uhandisi UDSM- CoET. hizi ndo tatu best zinazofatia zimepitwa mbali sana.make ur selection works
 
Kwani chemical and processing hawana wanalofanya kwenye madini na huo uvumbuzi wa gasi?
 
Ila kwa sasa Civil iko juu ya yote....kuna construction ya hali ya juu yenye uhitaji wa watu hao
 
yeah uhitaji ni mkubwa kwa sasa i.e uhitaji wa civil engineers from china nd other foreign countries not Tz
 
kumbe wewe ndo huko nyuma na dunia engineering zilizoko sokoni ni hizi hapa...1.AGRICULTURE ENGINEERING 2.IRRIGATION AND WATER RESOURCE ENGINEERING 3.BIO-PROCESSING ENGINEERING zote zinapatikana SUA......amka hizo zenu watafanya kazi wachina
 
uko deep mkaka,vp kama hizo fani ukasomea vyuo kama dit au must?
 
uko deep mkaka,vp kama hizo fani ukasomea vyuo kama dit au must?

nyie ndo mmekremisha wazungu wanatoka uk kumbe hata bongo wapo!!! mkuu engineering sio lazima usome coet hata st joseph,mist,dit..hope u understood!!
 
miamia mkaka..ila nimewasikia baadhi ya wanafunzi wa udsm(coet) wanasema degree za vyuo kama DIT hazitambuliki nje ya nchi au hazina hadhi kama za udsm,kweli?
 
Passion iko wapi hapa?

Si dhani kama 'malipo' pekee ni muhimu kwenye kuangalia cha kusoma chuo kikuu.
 
Any four year engineering course is marketable in any country!! Just do it in a right way you will agree with me!!
 
Back
Top Bottom