Top 3 ya wachezaji wa mpira wa miguu!

Chief unaongea usichokijua ila sitaki kukuwekea pingamizi maana unaonekana umebalehe juzi wakati wa makuzi ya mess na Ronaldo sidhani kama hata De lema umemwona ww zaidi ya kuhadithiwa tu

Hata huyo mtoa uzi nae kakaririshwa tu hapo hakupaswa kabisa kumweka huyo mtoto,

Kuna mtu huyo wakuitwa PELE
ogopa sana hiyo namba mkuu eti sheria ya ofside haikuwepo we kichaa kweli

Maradona hapa pia yupo sahihi

Lakini katika kizazi hiki ni mmoja tu wa kumweka hapa Ronadinho gaucho japo yeye alizidiwa mbali sana na jjokocha sema okocha aliwahi sana kuvikacha vilabu vikubwa,

Asee huyo mesi hata George weaya hamfikii

Jaribu tu hata kuingia youtube Afu uamue mwenyew acha mihemko ya ushabiki weka ukweli wa fikra zako
 
Cr7 anawatesa sana mpaka mnatumia nguvu nyingi hivo.
 
Wote nimewafatilia kwa undani, messi namshuhudia, ila nakili kwa dhat kabisa pele ni zaidi yao..

1. Pele
2. Messi
3. Maradona
 
Mueleze ajue.safi sana.
 

Ni mawazo yako mkuu. Gaucho hata kwenye 10 bora humpati. Sasa iweje aingie kwenye list ya mababu zake i mean

  1. MESSI
  2. DIEGO
  3. PELE


  1. Zidane
  2. Requelme
  3. De lima
  4. Ibrahimovic
  5. Gaucho
  6. Iniesta
  7. Xavi

Sasa naomba facts kuhusu gaucho!
 
Me naomba niwataje watano bora zaidi....
Pele,
Diego,
Ronaldo (Nazario)
Gaucho
Messi
 
Delima ni mchezsji salichezas kipind kifupi sana salikua noma ssana kila aliporud iwanjan nyavu zilimuogopa
Gaucho hakunaa kaamaa yeye uwsanjan katika Assist. Na ushambiaji nas wsa mwisho kabissa zizzou
 
Ni mawazo yako mkuu. Gaucho hata kwenye 10 bora humpati. Sasa iweje aingie kwenye list ya mababu zake i mean

  1. MESSI
  2. DIEGO
  3. PELE


  1. Zidane
  2. Requelme
  3. De lima
  4. Ibrahimovic
  5. Gaucho
  6. Iniesta
  7. Xavi

Sasa naomba facts kuhusu gaucho!
Kitu kikubwa nachotaka uelewe ni kuwa huyo mess hafai kabisa kuwekwa hapo huwezi kumweka hapo xavi ukamwacha George weaya,huwezi ukamweka Ibramovic ukamwacha Gaucho,hivi huoni hata unapoorodhesha ww unatafta kizazi cha ulichoanza kuangalia mpira? Namaanisha miaka ya kuzama meli ya mv victoria,hadi leo ndo maana mtu kama Weaya humweki hapo,mtu kama.....any way umeandika unachokijua sio Mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…