Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana MMU bila ya kuwachosha nimeona bora nishee nanyi wadada ninaowakubali zaidi hapa MMU
1. kapeace
huyu ni mwanamke peace sana kama lilivyo jina lake, sijawahi kuona kakasirika au kupovuka hata kama ukimtolea comments za shombo kiasi gani, ni mtu wa watu na anajikubali sana jinsi alivyo, anasimamia misimamo yake, yupo active sana kutoa ushauri pale inapobidi. Namkubali sana, sometimes ana utani utani mwingi, hata kiuhalisia nahisi ana furaha sana maishani mwake, ukionana nae ni mcheshi meno 32 yote njeeeeeeee........................nampa 95%
2.Sky eclat
Nampa strong big up! ana busara/hekima sana. Kila anachocomment huwa kina mantiki. Hata kama una tatizo na unahitaji ushauri, jielezee, utashauriwa vizuri tuuu....She is an optimist woman meaning that she looks things at its positive side. All in all anastahili sifa kwa kweli......................naye nampa 95%
3. Miss natafuta
anaonekana katika pande kuu mbili:
side A (bright side)
Ana huruma sana kwa watu, ni mtu anaejua kujichanganya na kujua dili nyingi za town, mcheshi, anajipenda na anapenda sana kula vitu vinono ( sweets, bites, delicious foods etc)
side B(dark side)
Inaonekana kuna mwanaume alimvuruga sana katika mahusiano na hadi sasa 100% hana imani kabisa na wanaume. Anawachukulia wanaume ni watu wabinafsi, katili na wasio na huruma. Sio kosa lake ni kosa la njia alizopitia maana sometimes mapenzi kamari...Ana hasira(anapanic upesi) na ukimwendea kichwa kichwa unakula za uso(anatoa povu la kutosha)............all in all aliniinspire hapa jf...........nampa 90%
4. Miss chaga
Hapa hakuna maelezo mengi zaidi ya HELA. Toa hela, maelezo machache( few words)...aisee, huyu mwanamke ana vinasaba vya hela, anapenda helaaaaa, yupo tayari kwa lolote as long as "hela" ipo. Kati ya comments zake 10, 9 zinazungumzia hela directly/indirectly. Hayupo tayari kuwa na mtu asiye na hela "ati nina upendo wa dhati" wewe pita kushotooo, usimsogelee kabisaa.....
Ila huwa najifunza sana kutoka kwake kuwa wanaume tupambane. Ukitaka mahusiano mazuri na imara Pesa inahusika sana.
Huyu nampa 80% na ujumbe juu
" sometimes pesa si kila kitu katika maisha, utu pia unahitajika"
5. Kihuba
Hapa utafiti wangu umegonga mwamba kidogo, maana kila nikitafiti sample space zangu hazinipi ushirikiano, zinagoma kabisa....Hii ni kwa sababu haijulikani anawaza nini! anabadilika badilika kama kinyonga. Anaweza asubuhi kusema anatafuta mchumba, mchana kapata, jioni wameshaachana, kesho anatafuta tena,,,,, huwa ananifurahisha sana na kunifanya niione JF kuwa kisiwa cha burudaniii....................Huyu nampa 70% na asante kwa kuvunja mbavu zangu.....
Hiyo ndio top 5 yangu, nawe pia unaweza weka ya kwako, karibuni sana
Hahahahaaa yani Leo mkulu amesuuzika nasubiri aunt yangu atushushie kitoto cha kimakinikia aaah nipate binamu mieHatimae kapaace amasababisha tumelipwa pesa ya makinikia yetu safi sana
Si wamesema b 700 zipo tayarihivi wamekubali kutoa kweli, mi nataka noah nyeusi
Kuna minongo'no kuwa kapeace ni yule waziri mwenye tumboHahahahaaa yani Leo mkulu amesuuzika nasubiri aunt yangu atushushie kitoto cha kimakinikia aaah nipate binamu mie
nina papa la hatari hyo inatoshaImekuwaje huyu Mwanadada Mrembo kabisa Zurie umemsahau Mkuu? Nasikia #1,2 na 4 wana ' Mbunye ' tamu kuliko mfano na ambazo zimetukuka kabisa. Huyo #3 ana Mbunye yamoto halafu ' mtelezo ' mno sema tatizo lake ni moja tu kwamba ni Pipa la SIMTANK / Mnene mno hivyo anayemkabili katika zoezi zima la ' Kibaiolojia ' anatakiwa awe na ' Mkuyenge ' wa maana ambao utaweza kukabiliana kabisa na ' minyama minyama ' yake.
Aah wapi yule ni mmaza bhana anakaribia na menopause kabisa wakati mie hata nusu ya safari BadoKuna minongo'no kuwa kapeace ni yule waziri mwenye tumbo
Aliyetuzuga na rambirambi!!!, hiyo Noah utaisubiri sanaaah...hizo hazitutoshi watanzia wote kupata kila mmoja noah
[emoji23] [emoji23]Aah wapi yule ni mmaza bhana anakaribia na menopause kabisa wakati mie hata nusu ya safari Bado
LohImekuwaje huyu Mwanadada Mrembo kabisa Zurie umemsahau Mkuu? Nasikia #1,2 na 4 wana ' Mbunye ' tamu kuliko mfano na ambazo zimetukuka kabisa. Huyo #3 ana Mbunye yamoto halafu ' mtelezo ' mno sema tatizo lake ni moja tu kwamba ni Pipa la SIMTANK / Mnene mno hivyo anayemkabili katika zoezi zima la ' Kibaiolojia ' anatakiwa awe na ' Mkuyenge ' wa maana ambao utaweza kukabiliana kabisa na ' minyama minyama ' yake.
Kesho njoo na top five ya wanawake wapolehahahahahaaaaaaaaaa