Top 6 Most Romantic Men in Africa

No, usiwaze mbali. He is my very good friend. Alipotea miezi kadhaa naona ndo karudi. Nimemuona kwenye sredi yangu flani hivi.

Afu wewe bwana, we have unfinished business.

basi mama yameisha.usije ukaanza kunipiga madongo kama siku zile.sijasahau hivo.hahaha.
 
ukiona hivyo ujue huyo ana mapenzi ya kweli na nchi yake.ni mzalelendo hasa.huwezi kujaza bendera ya nchi yako ndani hivi hivi tu.lol

hahaa pozi la bendera kila sehem hadi chumbani.......

sijawahi date a Kenyan man aisee
 


Hahaha!! umeamua kuburuta vituko vya Obina humu. When we bring our women to Zanzibar, Bongo men there are always left wondering why would an African spend so much money with a lady n such a place. kwanza there is some place known as kigamboni peninsula, where watching the sun go down while kissing passionately and sipping glass of some expensive wine. Usitake nikumbusha aisei maana kazi hapa Nrb haitafanyika..... Bongo men have all the beauty but never bother to experience or appreciate them.
Ati Nigerians??? those will only get closer to a lady ostensibly to rip someone.
 

I totally disagree.
 
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuu


Alaaah kumbe sikuisoma thread nzima

Sent from my iPhone using JamiiForums
 

haha kaka umenikumbusha jambo zuri ambalo siwezi kulisahau ktk maisha yangu.it's my last visit in mombasa,i'm trying to recall that blasting moment i had with my gorgeous and lovely meru lady.we spent our four days stay at nyali beach holiday resorts,it was one of my awesome moment ever.
hakika "mombasa raha".nafikria kutembelea tena huko ila mabomu ya alshabab yananipa hofu.

unakaribishwa tena kutembelea zanzibar ila ukimwagiwa tindikali usinilaumu.lol

BTW.obina ana masihara ya kijnga sana.hivi bado ana host ile show kwa easy fm?.
 
Ningeshangaa tangu lini Mjaluo na mapengo yake akawa romantical...mnafanya masikhara na romantical status nini! Oooopsiii!
 
my close friend alikuwa anadate mkenya
hakua na raha wala nini...wako busy na kazi tu...wao ni kazi na kazi na wao
hawako romantic kabisa...hata wa tz wanaoishi kwa muda nrefu kenya huwa wanakuwa kama wakenya
 
my close friend alikuwa anadate mkenya
hakua na raha wala nini...wako busy na kazi tu...wao ni kazi na kazi na wao
hawako romantic kabisa...hata wa tz wanaoishi kwa muda nrefu kenya huwa wanakuwa kama wakenya

Baby kila kitu kina muda wake tatizo Bongo mnaishi kwenye filamu siku zote munasahau realities za life kuna wakati wa kazi na wakati wakujirusha full. Hata Ughaibuni kule Marekani hawaishi maisha ya Hollywood siku zote. Mbona tukija huko Tz warembo wa kibongo hawatuachi. Maana sisi tunajua ku-appreciate uzuri wa kike. kwanza mademu wa tanga huniacha hoi kwa jinsi hurembesha kiswahili na lafudhi ya ki-aina yaani natamani nimle mzima mzima.
 

watoto wa kitanga ni watamu sana ktk mahaba.usipo kuwa chonjo utatelekeza familia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…