Top funniest member in JF ever..

Top funniest member in JF ever..

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
jamiiforum ni mkusanyiko wa kila aina ya watu, wenye uwezo na wasio na uwezo, GT na wasio GT, etc wote hao wanakamilisha circle ya maisha ya mwanadamu {life}

Kuna watu kazi yao humu nikutufanya tucheke na kufurahi muda wote tunaposoma michango yao. upande wangu kuna member kadhaa wanaonivunja mbavu sana naposoma michango yao, watu hao nimesoma michango yao yote toka wajiunge jf. hua natenga hata masaa 3 usiku nasoma michango yao humu. wafuatao ni watu wanaonichekesha sana naposoma michango na mada zao, waweza ongezea wakwako.

  • MSAGA SUMU . uwasiilishaji wake wa mada humuu ndo unanivunja mbavu hasa akiwa anamzungumzia le mobimba.
  • GuDume nani asiyemjua huyu mzee wa chai ? hana utofauti mkubwa na pimbi kwa harakati zake za totoz
  • General Galadudu nahisi huyu ni pacha wake gudume kutokana na harakati za kusaka totoz.
  • @Seneta_wa_mtwizi mzee wa zali la mentali na madem wa kishua mwongo sana huyu kiumbe.
  • Padri Mcharo una weza mwita katibu mwenezi wa chaputa upande wa mashuleni na vyuoni, ana GPA ya 78 toka Udsm
  • Mikwara Ya Andunje boya sana huyu mtuu. kila komenti yake anajifanya ni le bilionea toka bunju
  • The List mzee wa imbecile, empty set,maharage mabichi sijui kapotelea wapi
  • baba swalehe jinga sana huyu daktar wangu, akili yeye anazitumia kama toilet papper.
  • @sergio5 @HR666 Alonso14 watukanaji wakubwa humu wanatukana bila sababu kwakua nimewazowea nabaki nacheka tu.
  • Matola hili jamaa linamitusii na maneno ya kashfa kama nini yaani, btw hua nabaki nacheka tu.
  • Mbao za Mawe ana demu wake anaitwa Saida said wakikutana hua nacheka sana

All in all naheshimu kila member humu ana umuhimu wake, no offence
 
3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa - JamiiForums
jana nchi ilisimama kwa masaa kadhaa baada ya muwekezaji mkubwa kwenye suala la mitandao ya kijamii kutimiza miaka mitatu ya uwekezaji baada ya kutoka ulaya na Marekani na utajiri wa kutisha uliofikia dola 500 baada ya kukaa huko miaka 30.

Sherehe hiyo iliambatana na kufungwa kwa barabara kadhaa huku askari wakitawanywa kila kona ili kumhakikishia usalama muwekezaji huyo ambapo askari hao walitumia helkopta,farasi na magari maalum.

Muwekezaji huyo aliyeshindwa kuingia Dubai baada ya shirika la ndege kumwambia ajitegemee nauli,ambapo alisema kwa sasa yuko vibaya financially kabla ya kupata sponsor mwingine ambaye alikubali kumlipia nauli lkn kama atakubali kwenda Sokoto Nigeria na sio Dubai tena.

Sherehe hiyo ilifana zaidi baada ya viongozi wa kiserikali waliposhauri Lemutuz apate usajiri kutoka brela ili Wakenya wasije wakasema Akili kubwa anatoka Nakuru.

Mpaka leo mchana muwekezaji huyo alikuwa double tree by Hilton akipata coffee kwa ajili ya kuchangamsha Le Ubongozz kabla ya kuja na live straight talk
 
Tuwekee na ugliest members ili tuwakutanishe na Hawa funiest
 
Principle tano za kuzingatia napopiga punyeto usiku.. - JamiiForums
No politics here, straight to the principles:

1. Punyeto bila hisia hainogi.
Lazima uvute hisia za demu mkali unaye mzimikia, labda uliisoma nae O level, Chuo.
Wakat niko O level (Tabora Boys) kuna mwalim wa kike wa Kiswahili (Madam Mpingwa). Alikua kajaza malocker huyo, basi kila nikipiga puli namvutia hisia yeye. Na assume sasa mimi ndio mume wake namkamua kitandani.

Sasa hivi kuna dogo yuko form two hapa napoishi. Ni mtoto wa mama mwenye nyumba. Sasa kwa sababu za ki usalama, kuogopa miaka 30 na ukizingatia gepu la miaka zaiki ya kumi kati yetu, siwezi kumtongoza dogo. Kwahiyo napopiga punyeto usiku, naassume dogo kaja getto nimemfundisha Logarithm, then mwenyewe akataka nimgonge.
Hivo huwa nachukua mto, naukumbatia naassume ule mto ndio Dogo sasa.

2. Punyeto inanoga gizani.
Ni kama mapenzi tu. Especially usiku, huwezi ukawa unajikatikia shhh shhhh huku litaa linakumulika mwaaaaa... Asije mtu akawa dirishani anakuchungulia bureee. Hivo mara nyingi huwa nazima taa. Na nasubiri ifike night kali, hakuna possibility ya kugongewa mlango na mtu.

3. Maji ya kuoga stand by.
Kabla ya kupiga nyeto, huwa naandaa kabisa maji ya kuoga. Maana nikishamaliza, lile jasho siwezi kulala nalo. Nikirusha tu wazungu huyoooo bafuni kuoga then narudi kuchapa usingizi mzito.

4. Nguo spesho ya kujifutia.
Kwa sababu nyeto zangu zote huwa ni za kitandani, ili kuepuka kuchafua mashuka, foronya na nguo nilizovaa, huwa nina tisheti spesho kabisa kwa ajili ya kamchezo haka. Ni ile tisheti nayotumia asubuhi kwenda zoezi uwanjani. Sasa kwa sababu huwa chafu chafu basi huwa nahakikisha iko pembeni hapa nikikaribia kurusha wazungu tuu nainyakua.
Sometimes kama hiyo tisheti nimeifua, basi huwa nachukua tambara la dekio au boxer chafu. Nikisha jifuta navikunnja kunja navificha hukoooo uvunguni.

5. Lazima ujilaumu baada ya kumaliza.
Pale ukimaliza tu kurusha wazungu, hisia zote zinakata. Unaanza kujilaumu
-Sasa ndio nimefanya nini!!
-Kubabake najiharibu tu mwisho nipate matatizo ya nguvu za kiume.
-Leo ndio mwisho kupiga punyeto. Sipigi tena.

Ni katika ku share tu aspects za maisha ndugu zangu. Ahsanteni.
 
Seneta Wa Mtwiz
witnessj kama unaweza haya natangaza ndoa mapema sana nawe
[Ushauri]: Wa Kikubwa na Kiutu_Uzima Unahitajika hapa - JamiiForums
WAKUU,

NAOMBA KUULIZA KIDOGO,

HIVI KUIFANYIA PRACTICAL NADHARIA HII
KUNA UBAYA WOWOTE??
[emoji116][emoji116][emoji116]
_____________
"Mchukue demu umpeleke geto,
Halafu mpime
kwa kumpa jiko la mkaa lililolowana awashe moto mpaka manailoni yote yaishe,

Huku akichambua maharage magumu ayachemshe yaive apike ugali wa dona,
mle mshibe.

Bila kusahau kumpa jeans zako angalau 19 na shuka zako ambazo umezitumia kwa takriban miezi 6 mfululizo bila kuzifua,
azifue zitakate,

Wakati huo ushampa ufagio na tambara la deki asafishe chumba hadi king'ae,

Huku ukimpa malengo yako ya kuanzisha kilimo cha mapera na mikarafuu
na kutaka sapoti yake ya dhati
Ikizingatiwa kilimo chenyewe kitafanywa kwa jembe la mkono,

Baada ya hapo mpe sululu na chepe ili ahakikishe anachimba shimo la takataka
(Sio refu,
Ni la futi 6 na robo tu)

Kisha mpe dumu la
20 ajaze maji kwenye pipa la Lita 113 lita nusu lililopo hapo gheto,

Na amalizie kudeki chooni.

Ikifika saa 12
mpe nauli inayotosha kumfikisha kwao tu,
Bila ziada wala nyongeza yoyote.

Akirudi tena kesho,
Muoe kabisa huyo!
Ni @Waifu_Matirio huyo!

Usimuache kabisa huyo!

Hasa akiwa wa @BAED_KUNOGA!"
_______

LENGO NII_APPLY HII PRACTICAL HIVI KARIBUNI,
AU MWAIONAJE WAKUU??

TUPEANE MAWAZO FASTA HAPA!
 
Laiti kama jana ningekuwa na ka manati kangu ka kizungu hata cjui nini kingetokea - JamiiForums
Jamani nchi hii ma stress yamekuwa mengi sana hadi unaweza kujikuta unataman kufanya ambacho haukutamani kufanya..... maana tunasikia mara huyu anauza sembe mwingine unaambiwa kaitwa polisi kwenda kuhojiwa mara yule wa kutoka kolomojie anatumia vyeti vya mtu mwingine...... hatujakaa sawa tunaambiwa mtu kavamia studio na kikosi maalumu jamaa wakiwa full loaded..... eh..... nashangaa shangaa nikackia hii kali zaidi safari hii eti ukitaka kuoa lazima uwe na cheti cha kuzaliwa..... nikabaki najiuliza..... kwani hawaamini kama huyo muoaji amezaliwa?

Nikaona hapa stress za haya mambo zinazidi, nikawazaaaaaa...... nikaamua kuutafuta mchepuko wangu ambao ni njia kuu ya jamaa mmoja hivi dereva wa magari makubwa ya mizigo, tukaenda kwenye ka pub flani hivi huko huko mtaani kwao..... yeye huwa namgegedea nyumbani kwake juu ya kitanda wanacholala na mume wake na nikimaliza najifunga taulo ya mume wake naenda kuoga, sasa wakati tunapiga biere zetu huku tunatafuna kitimoto ya kuchoma, kuna jamaa mmoja hivi nilimstukia kitambo tu kuwa anafuatilia nyendo zetu na mara nyingi alikuwa anajaribu kufanya tukio baya sana ambalo lingemgharimu kama angelifanikisha....... eti alikuwa anajaribu kutupiga picha, muda wote huo nilikuwa cjamstua huyu bi mchepuko kama kuna fyatu mmoja anafuatilia nyendo zetu maana sikutaka kumstua.

Zikaletwa bia nyingine mbili na zikafunguliwa kabisa, tukaanza kunywa lakini kabla hatujamaliza nikamwambia aende toilet halafu apitilizie huko huko kwa mlango wa nyuma, hakutaka kuhoji sana maana anajua huwa nina mbinu nyingi za kijasusi, mi nikabaki pale naendelea kunywa dakika kama tano hivi baadae na mi nikatoka kwa kupitia mlango mkubwa wa mbele, sikwenda mbali nikabana sehemu flani..... ghafla nikamuona yule jamaa ametoka anaangaza angaza huku na huko, aliponikosa akadandia pikipiki lake akaondoka kwa fujo....... msichoke kufuatilia huko mbele ya story hii kuna sakata zito sana lilitokea.....
 
Back
Top Bottom