Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Aisee! Sasa Mbona Tuliambiwa Kile Kikosi Ndani Ya Mossad Ni Hakunaga? All In All, Mzungu Ni Shida
 
Makala safi sana. Kwa Historians kama sisi inatupa mwanga halisi kwa nini watu wa Magharibi si wa kuwachukulia kirahisi rahisi kwa kila wanalolifanya.
 
D.B Cooper ni habari nyingine aisee haahahah

Pamoja sana Mkuu! Shukrani..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Lakini Trump kasema kutakuwa na nafasi za upendeleo kwa wageni VIP.. [emoji6]

So usijali, tutatimba US bila shida
 
Naomba siku utakayoachia hiyo makala hapa jukwaani make sure naisoma ukiwa karibu yangu kunicomfort.
Maana utatonesha kidonda kilichoanza kupoa [emoji24] [emoji24]
Usijali mama! Nitaiweka siku ya weekend tukiwa outing zile za "kulala huko huko" haurudi home.. So i will be right by you side kukucomfort.. [emoji4] [emoji4]
 
Usijali mama! Nitaiweka siku ya weekend tukiwa outing zile za "kulala huko huko" haurudi home.. So i will be right by you side kukucomfort.. [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
I'll be grateful honey [emoji8] [emoji120]
 
The Bold, ni zaidi ya the great thinker. mada zako zinatufanya kuonekana wajuaji sana hqta mtaani. i like it
 
Makala nzuri. tunaomba utuwekee na stori kama hii kwa Cuba na USA
 
Mkuu The Bold shukrani sana kwa Uzi murua kabisa, niseme tu ukweli imebidi niukopy vizuri maana nilikuwa najua Nina safari basi nikahusi safari imekuwa nyepesi kwa kusoma hii story....... Salute kwa kwako Chief.......@The bold
 
Mkuu nimekuwa nikiangalia series inaitwa Homeland, na baada ya kusoma hili bandiko lako hapa napata Picha kuwa hawa jamaa wa CIA sio wa kuwachezea hata kidogo.......natamani kujua kama na sisi tuna vitengo vya siri ndani ya TISS au hata jeshini?
 
Makala hii na ya Eli Cohen ndio makala bora zaidi kwangu kuwahi kuzisoma. Aliyekupa kipaji hiki akuzidishie zaidi mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…