Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Sawa nimeielewa lakni ujafafanua jambo moja mkuu kuhusu target zilee moja iliondolewa na osma ujasema kwann
 
Du mkuu hii ni Mara yangu ya pili kukusoma nmegundua wewe ni balaaa.Mim nlkua mwalim nikifundisha somo LA historia jpo kW sasa nlishaacha hyo kazi Niko na shughuli zingine but umenkumbusha mbali sana.Endelea kutuelimisham
 
Du mkuu hii ni Mara yangu ya pili kukusoma nmegundua wewe ni balaaa.Mim nlkua mwalim nikifundisha somo LA historia jpo kW sasa nlishaacha hyo kazi Niko na shughuli zingine but umenkumbusha mbali sana.Endelea kutuelimisham
Pamoja sana mkuu! Shukrani..
 
Du mkuu hii ni Mara yangu ya pili kukusoma nmegundua wewe ni balaaa.Mim nlkua mwalim nikifundisha somo LA historia jpo kW sasa nlishaacha hyo kazi Niko na shughuli zingine but umenkumbusha mbali sana.Endelea kutuelimisham
We msenge acha kukoti Uzi nzima unaboa sana nyambaf
 
Hii sikuwahi kuisoma,kama kawaida yako mkuu The Bold umeng'aa sana big up
 
Historia nzuri sana,hongera sana Mkuu The Bold kwa uzi huu muhimu mno.
Pia naomba uwe unani tag
@ [HASHTAG]#TheBold[/HASHTAG]
 
natamani wasome uzi huu watz wote kwa tumeanza vita vya kiuchumi tujiandae kuhujumiwa.Japo naamini watashindwa
 
Hivi the bold ni mtu wakawaida kweli?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…