Top Secret

Duh! Mshikaji ni noma. Umenipa somo kubwa sana. Big up bro.
 
Huu ni ukweli mtupu Rev Masanilo! Natamani kila mtu angeyapitia maneno yako!
 
 

nakupa big up masanilo kumbe ukiamua unavitu vilivyosimama,ila we kiboko kwakupenda chadema unatakiwa upewe nishani na chadema,ila kwahili bandiko lako lasasa nakupa thanks x 2000,
 
Phew.! one has to work very hard to be poor!
 
kwa jinsi unavyoisifia mvua... Nina hakika ilishakunyeshea ukajifunza...bravo!!
 

Mchungaji, leo umeamkaje? ulitanguliza kichwa nini? Au washirika wamekuudhi, maana kila siku unawashushia nondo za namna ya kupata utajiri ili sadaka ziongezeke lakini hawaelewi kwa hiyo umeona uwape somo wanalotaka.
 
That's good and for a brave person must apply its negativity for being richest.
 
Mchungaji, leo umeamkaje? ulitanguliza kichwa nini? Au washirika wamekuudhi, maana kila siku unawashushia nondo za namna ya kupata utajiri ili sadaka ziongezeke lakini hawaelewi kwa hiyo umeona uwape somo wanalotaka.


Hapana ndugu yangu! Kila siku tunahubiri jinsi ya kujikomboa kwenye lindi la umasikini lakini wao wanajua maisha bora kwa kila mtu. Nimeona ngoja nijaribu kuwaaaminisha jinsi ya kuwa masikini zaidi nione labda watafanya kinyume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…