Tanzania hamna system of education that's why mnakula Albino na watoto wachangaKenya[emoji2][emoji2][emoji2]
Hapo Miradi yote ya nchi inajengwa na Wachina yet nchi imekuwa ikitrain Engineers miaka 60 sasa,
nchi imejaa mafisadi, Nairobi maji hakuna, maelfu wanakufa njaa leo 2020 wataalamu wa kilimo wameshindwa hata kubuni mradi mmoja wa umwagiliaji,
Nairobi inakuwa na Gavana kama Sonko anavaa minyororo kama Umbwa, nchi imejaa ukabila na imetawaliwa na kabila moja tangu uhuru,
Hehehehe acha tu niishie hapa.
Hiyo list labda Egypt tu wengine wote hamna kitu, Tena South Africa ndio Bure kabisa
[emoji233]Tanzania hamna system of education that's why mnakula Albino na watoto wachanga
[emoji1][emoji1][emoji1] Aisee, hawa ndio wasomi wa kibongo. Huyu labda alirithi uprofesa.Huko kwao elimu yaani kioja....
Hebu tazama hapa profesa anavyoteseka kueleza, sasa ukumbuke huyo ni profesa mbaye ni tegemeo la wote ambao hutupigia makelele humu.
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/01/2264632_VID-20200107-WA0090.mp4
Hata google wanajua majengo yenyu yanaporomoka...Tanzanians as usual ranting about Kenya's education...
Try this, make an advert for a skilled job... Engineering, artisan jobs, teaching, medical , business professions...
In Kenya and Tanzania...and tell me where you will get more skills and experience..
Hata google wanajua majengo yenyu yanaporomoka...
View attachment 1322516
>>> Tanzania
View attachment 1322515
Wewe hujasoma kabisa huu uzi ndio maana unauliza maswali ya kijinga
Mbona unawashwa washwa?Wewe hujasoma kabisa huu uzi ndio maana unauliza maswali ya kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa finyu ndio kasumba ya elimu yenu duni. Umesoma maelezo ukaona mfumo mzuri wa elimu unaendana na 'literacy' rate ya juu zaidi? Literacy rate ya Kenya ni 79% kulingana na UNESCO. Hao wanigeria uliowataja mnaendana nao kwa sana, maanake level ya umasikini Tz na Nigeria ni 55% + ya wananchi wote.Shida nini kwani wamesema nchi zenye best education systems sio nchi zenye watu wenye elimu nzuri, kwani hamjui kuna nchi zinautajiri lkn zinaishi kimaskini, sasa kama mkenya au nani kamzidi Nigeria na bado mnigeria ni tajiri kabisa unabishana nao nini?? Waache wafurahie best education system hahaaa