The keyword here is "improved" toiletsivi population ya dar c 5m sasa iyo 45m yote haina izi huduma
Russia is not half the size of africa, leta km2 zake leta ya africa, na unapaswa ujue image ya africa is distorted kwenye atlas, its huge, observe the distance btn 2 latitude around equator and dist btn 2 latitudes around north poles where russia is.Yes But Russia is
15,000,000km2
Russia is Half the size of Africa
One side of Russia is Day time The otherside is Night time
Russia is Covered by Snow in the most part of the country
On the otherhand
China is 9,000,000km2
With 1.23bn people...
What is tanzania excuse?
900,000km2 with only 50mn people
And there are no major weather or enviromental hardships in TZ
YES! Very modern toilets facilities funded by the govt and NGOs.Slums za Kibera zina toilet?
Hebu kuweni serious. China population iko almost 2.5bn, lakini hapo unaona ni watu karibu 329mn hawana vyoo, that is around 13% of the total Chinese population. The rate fo Russia is even lower, but Tanzania........44mn pipo out of the total population of 52mn pipo have no adequate access to toilets.......and that is quite staggering!
Kama kila tukishindwa kitu tunatafuta visingizio hata sisi tunaweza kusema kua choo ni interest ya mtu, na kwakua hizo takwimu hazijaonyesha wanavyosema improved wanalenga choo kipi, hivyo yawezekana tulivyo navyo sivyo ambavyo wao wanaconsider "improved latrines" hivyo interest zetu hazijamatch na matakwa yao.
Watu 44M kutokua na sehemu ya kumwaga uchafu, magonjwa ambayo yangelipuka humu yangefika mpaka kwa nchi jirani.
Mkuu jiongeze.
Wapo huku ngorongoro DC kuna kijiji hakuna vyoo kabisa kinaitwa SaleHao watz mil 45 wasio na vyoo mmewatoa wapi?
Naelewa matatizo yenu lakini mimi nilipost hii kwa sababu some days ago some guys from your countries were dissing Kenya na story za chooHauna akili! Tanzania yetu bado tuko kundi la least developing countries, hivyo bado tuna matatizo yote ya least developing countries, Kenya ni middle income country hivyo haiwezi kuwa na matatizo sawa na Tanzania yetu kwa hali ya kawaida, sasa nashangaa kwa nini hii inakuwa ni news kwako!
Jelous..China ipo, Russia ipo, ila kuna jamaa mmoja kaiona Tanzania tu.
Acheni kuitazama Tz, mtachelewa kufanya yenu.
Lengo lako ni nini?
ILA KAMA UNA AKILI SAWA SAWA UTAGUNDUA TU KUWA TZ HAIWEZI KUWA NA IDADI KUBWA HIVYO . ILA PIA KUWA TZ HAIWEZI KUWEPO BILA KUTANGULIWA NA KENYA. YOUR VERY SURE OF THAT NDO MAANA UNAONEKANA UKO NA MHEMKO.China na Russia ni due to high population. Ila Tanzania nchi ya watu millioni 50 ina watu milioni 44 hawa vyoo - that's 88%. Gosh!
Ni kutokana na kuwa hawatumii improved wanatumia vya kawaidaTufanye China na Russia ni kutokana na wingi wa watu.
Tanzania ni kutokana na nini?