Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Najua ili wimbo uingie top ten katika vituo mbalimbali vya redio au tv hapa nchini lazima uwe na ujumbe mzuri, ala nzuri, na hata mpangilio.
Kwa takribani mwaka mmoja sasa toka huu wimbo utoke sijawahi kusikia redio yeyote ile inauingiza katika top ten na ni wimbo ambao kiukweli una ujumbe mzuri na ujumbe wa moja kwa moja kwa zama hzi.
HIVI KWANINI WIMBO WA "CCM MBELE KWA MBELE" haupo kwenye top ten wakati kitaani unafanya vizuri?.
Mnasubiri video yake au?!!!!!!! Acheni ubaguzi bhana.
Kwa takribani mwaka mmoja sasa toka huu wimbo utoke sijawahi kusikia redio yeyote ile inauingiza katika top ten na ni wimbo ambao kiukweli una ujumbe mzuri na ujumbe wa moja kwa moja kwa zama hzi.
HIVI KWANINI WIMBO WA "CCM MBELE KWA MBELE" haupo kwenye top ten wakati kitaani unafanya vizuri?.
Mnasubiri video yake au?!!!!!!! Acheni ubaguzi bhana.