Top ten ya wasanii ambao ni kama Kagera Sugar FC yaani namba moja hawashiki ila hawajawahi kushuka daraja.

Top ten ya wasanii ambao ni kama Kagera Sugar FC yaani namba moja hawashiki ila hawajawahi kushuka daraja.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wafuatao ni wasanii kumi ambao hawajawahi kuwa namba moja kwenye muziki lakini pia hawajawahi kupotea kabisa kwenye muziki yaani kwenye mpira tunaweza kuwafananisha na Kagera Sugar FC. Kama mjuavyo huwa Kagera haichukui kombe lakini pia haishuki daraja.

1. Ambwene Yesaya (AY)
2. MwanaFA
3. Linex
4. Ali Kiba
5. Jux
6. Weusi
7. Snura
8. Ruby
9. Fid Q
10. Zuchu
 
Duuh hii vita unayoitafuta mzee ni hatari asee unazo air defence system za kukulinda lakini?
 
Sasa utamfananishaje MTU ambaye kwenye game hana Hata miaka 2 Na Legendary kama Fid Q,AY Na Mwana FA..?
 
Cjui unataka nini we ndugu Alikiba kafata nini hapo


Mhhhh nimekumbuka kumbe hayo ni maoni yakoooo
 
Back
Top Bottom