Top three wanaoteseka na kuumia zaidi

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Top 3 wanaoteseka na kuumia zaidi kwa maana mda wote walikuwa wanaomba simba fc apoteze.
Umaarufu wao pia utashuka mtaani hadi Simba atakapotupwa nje ya mashindano ya Club bingwa Africa .

1. Shafii Dauda

2. Mashabiki wa Congo

3. Mashabiki wa Yanga.

Nb: Simba ni Dar na Dar ni Simba


Nb: Zahera hajawekwa kwasababu Zahera alijua mapema kwamba Simba fc inashinda na ndio maana aliitabiria Simba mapema. Alisema simba ana 60% kupenya CL na Vita wana 40% kupenya. Hii yote ilitokana na Simba kuwa imara na pia advantage ya nyumbani, na mwisho Zahera ni Yanga.
 
Ukichanganya na matokeo ya Iringa, ndio kabisaaaaaa!
Halafu cha kushangaza, waliweka nguvu kubwa ya KUZOMEA/KUSHANGILIA matokeo ya Dar kuliko hata huko Iringa ambayo ndiyo yaliyokuwa yanawahusu!
Mshika mawili yote humponyoka na Zahera ni chauroo. Alitaka ushindi huku na huku ila viongozi wanamkalia kikao.
 
Tangu lini mtu mwenye akili timamu akaenda kujenga bondeni matopen kabisa tena kwenye njia ya maj..yan bwawan kabisa 😂😂😂
 
Huu ni usiku mbaya sana kwa Yanga huku upande wa pili ikiwa ni kama harusi kubwa ya kifalme [emoji4]
 
Mkuu usiseme 'hadi Simba atakapotolewa'
Je asipotolewa?
Kwani wengi si walijua atatolewa kwenye makundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I dont understand,shafii ni mchambuzi wa soka,kwa kundi lile kweli pale mwanzo nani angesema simba anatoboa [emoji853][emoji853]
Ndo maana kna tweet flan nliona anasema.kundi limekua so complicated mpaka wa mwisho anaweza akawa wa kwanza anytime na akapita, means aliongelea simba posibility ya kupita,washabiki without using head,wanahisi jamaa anabif na simba,..
Soccer africa kipind nguli cha kuchambua soka by wisemen kundi lilipokua mwanzo waliona simba hatoboi,ila last episode Thursday nao baada ya kuona kundi lilivyo km shafii wakasema ana nafasi ya kupita,simba fans sijui why hawamuelewi shafii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shafii huwa haizungumzii Simba kwa mema, na hata katika safari hii ya mafanikio yy hajapenda. Ww unamtetea leo alizingatia nn kuwaita Simba fc underdog (mchekea)?. Mara kadhaa akinukuliwa kuipondea Simba, yy ilibidi aipe simba moyo na sio kuwadharau na kuona hawafiki popote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…