Top Universities in Tanzania in 2020

Chuo cha ccm (udom) hakiwez na hakitawah kuwa juu ya chuo cha vipaji maalum MZUMBE, list hii tumeipuuza
 

S.Joseph ya mbezi unalinganisha na dar es salama institute of technology Dit hata kuilinganisha inaonyesha udhaifu wa wazi waz kwa walioandaa rank hyo
 
Kwanza hyo list haina usawa....utakinganishaje ubora wa vyuo wakat vyuo hvyo vina kada tofauti?? HV muhas uilinganishe na sua au ardhi wapi na wapi??

Nitarudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…