Mambo mengi tuMbona kimya sana
Em twende chumbani tukazungumze kidogoMambo mengi tu
Weka baba wekaaa
HayaEm twende chumbani tukazungumze kidogo
Mbona nimekusubiri haujafika kwanini unanifanyia hivi???Haya
HahahaMi najuaje kama unazo sasa?
Umesahau inbox ulinitumia ? Nazingine ulipigwa na vijana Wangu pale nanii?Mi najuaje kama unazo sasa?
Hahahaa we jamaa,Baby vipi mzimaaa?
Mweee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Niliangukaga bafuni chura akapotea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kama nani!Wote uliotaja hapo kuna wanaume zaidi ya wanne wenye I'd za kike
Haaaa haaaamzigua 90 najua anafunika na dela bila shaka, lakini linachomoza tu,, hahah sijui alitoroka peponi?
Duu kweli eeee ngoja tuwafuate huko!Wa hivi hawaingii hata JF... Hawa wapo Instagram na Snapchat.
Wanaoingia JF wengi ni wagumu kina Makinda [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mzigua90 huyo
Huyu jamaa namreport kwa mods kaweka picha yangu humuMzigua90 huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wacha nikae kimya
HahahahaShoga angu hatimye tumepata chura [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu nimecheka sanaaYaa mtoa mada vitu uanvyowaza ni tofauti... Maana kati ya hao uliwataja kuna wengine hapo kama wawili sitowataja hakuna chura wala kinyonga umepotea.
I mic u bby love...humu nimekua mnyonge sana mke wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]