Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Habari wana JF,
Imepita muda tangu nitangaze wazo la kilimo cha biashara cha michungwa na tathmini ya mapato pamoja na gharama zake ingawa nimepata changamoto za maswali mengi kutoka kwa wanachama wa jf na lengo na dhumuni la ujio huu wa pili niliouita topic 2 ni kutokana na changamoto hizo nilizozipata kwa wale wageni wa topic hii marejeo ya topic ya kwanza ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-cha-michungwa-1000-baada-ya-miaka-3-a-7.html
Kama nilivyoeleza kua ujio huu wa pili ni kutokana na changamoto zilizojitokeza kwa wana JF.
Kuna baadhi ya mlio wengi mmevutiwa na thread hii na pia mlitamani muifanyie kazi na kuna wengine mlinipigia simu na kuna wengine tulionana ana kwa ana miche ila kwa bahati mbaya mimi nilikua sijajikita katika uzalishaji wa miche hii ya michungwa hivyo basi nikaamua rasmi kuanzisha project ya kupandikiza miche hii ya michungwa(grafting) katika shamba langu na kuamua kuwatangazia kuanzia kipindi hiki kua miche hiyo ninaizalisha mimi mwenyewe katika shamba langu.
Sifa za miche hiyo ya michungwa ni kama ifuatavyo:-
1. AINA YA GALATIA
2. ASILI : ISRAEL
3. UNAZAA MAPEMA (MIAKA 2)
4. UNAZAA MACHUNGWA MPAKA 4000 KWA MCHUNGWA
5. UNATOA MACHUNGWA MAKUBWA
6. UNATOA MACHUNGWA MATAMU
7. MACHUNGWA YENYE MAJI MENGI
8. RANGI YA MACHUNGWA INAVUTIA
9. MACHUNGWA MAGUMU(YANASAFIRIKA)
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA MICHUNGWA YENYE UMRI WA MIAKA MIWILI KATIKA SHAMBA LANGU LA MICHUNGWA ILOKO TANGA.
Imepita muda tangu nitangaze wazo la kilimo cha biashara cha michungwa na tathmini ya mapato pamoja na gharama zake ingawa nimepata changamoto za maswali mengi kutoka kwa wanachama wa jf na lengo na dhumuni la ujio huu wa pili niliouita topic 2 ni kutokana na changamoto hizo nilizozipata kwa wale wageni wa topic hii marejeo ya topic ya kwanza ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-cha-michungwa-1000-baada-ya-miaka-3-a-7.html
Kama nilivyoeleza kua ujio huu wa pili ni kutokana na changamoto zilizojitokeza kwa wana JF.
Kuna baadhi ya mlio wengi mmevutiwa na thread hii na pia mlitamani muifanyie kazi na kuna wengine mlinipigia simu na kuna wengine tulionana ana kwa ana miche ila kwa bahati mbaya mimi nilikua sijajikita katika uzalishaji wa miche hii ya michungwa hivyo basi nikaamua rasmi kuanzisha project ya kupandikiza miche hii ya michungwa(grafting) katika shamba langu na kuamua kuwatangazia kuanzia kipindi hiki kua miche hiyo ninaizalisha mimi mwenyewe katika shamba langu.
Sifa za miche hiyo ya michungwa ni kama ifuatavyo:-
1. AINA YA GALATIA
2. ASILI : ISRAEL
3. UNAZAA MAPEMA (MIAKA 2)
4. UNAZAA MACHUNGWA MPAKA 4000 KWA MCHUNGWA
5. UNATOA MACHUNGWA MAKUBWA
6. UNATOA MACHUNGWA MATAMU
7. MACHUNGWA YENYE MAJI MENGI
8. RANGI YA MACHUNGWA INAVUTIA
9. MACHUNGWA MAGUMU(YANASAFIRIKA)
HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA MICHUNGWA YENYE UMRI WA MIAKA MIWILI KATIKA SHAMBA LANGU LA MICHUNGWA ILOKO TANGA.