Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona umekazana sana na hii ishu? Mkuu mimi nazani ni bora watu tujikite kwenye kufanyia kazi kila mkinacho postiwa huku haya maswala sijui ya kushindanisha hayana tija, kushindanisha ili iweje? tukishindanisha ndo watu wabadili fikira zao na kuwa wajasirimali?
Hili jukwaa now day linazidi kupoteza mvuto kabisa that is why hata mimi sionekani kabisa huku tofauti na zamani, na kuna sababu ni kwa nini sionekani huku,
lengo ni kushawishi watu walete vitu vyenye ubora mwaka 2013. Kwa mfano unaikumbuka ile topic ya kubota ya zijue mbinu zangu za ufugaji wa kuku wa kienyeji? tunataka mabo kama hayo mkuu.Mkuu mbona umekazana sana na hii ishu? Mkuu mimi nazani ni bora watu tujikite kwenye kufanyia kazi kila mkinacho postiwa huku haya maswala sijui ya kushindanisha hayana tija, kushindanisha ili iweje? tukishindanisha ndo watu wabadili fikira zao na kuwa wajasirimali?
Hili jukwaa now day linazidi kupoteza mvuto kabisa that is why hata mimi sionekani kabisa huku tofauti na zamani, na kuna sababu ni kwa nini sionekani huku,
lengo ni kushawishi watu walete vitu vyenye ubora mwaka 2013. Kwa mfano unaikumbuka ile topic ya kubota ya zijue mbinu zangu za ufugaji wa kuku wa kienyeji? tunataka mabo kama hayo mkuu.