Hivi mbona hili jukwaa linatupiwa mawe sana? sio siku hzi tu tangu najiunga mm naona kila siku malalamiko tuuu watu wan discuss mapenzi mapenzi....Teamo, Aspirin, Fidel, Rev Masa Mwanajamii etc wote watakuwa mashahidi kwenye hili......:embarrassed:
Hivi mbona hili jukwaa linatupiwa mawe sana? sio siku hzi tu tangu najiunga mm naona kila siku malalamiko tuuu watu wan discuss mapenzi mapenzi....Teamo, Aspirin, Fidel, Rev Masa Mwanajamii etc wote watakuwa mashahidi kwenye hili......:embarrassed:
wala usitafute shahidi dia, hao wanaoli2pia madongo wanakuja kufanya nn humu jamani? 2achieni wenyewe 2foramike na raha za hapa MMU kinachoshangaza wanaolalamika kutwa kuchungulia humu kwi kwi kwi mwafata ni kama hamvutiwi na habar za humu hapa pana ulimbo bana. Nasema hv kila anaechungulia humu na kupost chochote anapapenda so usilalamike mpendwa jiviringishe sarakasi za raha jiachie jipe maraha maisha mafupi mwe